JF Doctors,
mimi nina tatizo, kila ninapoenda haja ndogo (kukojoa) hufuatia maumivu yenye kuashilia kama sijamaliza kukojoa, baada ya muda kidogo nikienda kukojoa kwa kukamua hutoka mkojo kidogo na hapo ndipo hupata nafuu kidogo. Je! Hii ni maradhi gani?