Ni dalili ya uchawi au kawaida?

Ni dalili ya uchawi au kawaida?

Godwin peter

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2019
Posts
360
Reaction score
608
Habarini za humu JF,

Mimi ni kijana wa umri miaka 27. Ninafanya kazi katika company flani hivi. Nataka niulize je hii ni dalili ya kuwa mchawi au lah?

Kutokana na katabia ka kuona wivu maendele ya watu naumia moyoni na ninakuwa na mawazo pia. Leo kuna mtu ninafanya nae kazi kaniambia anataka kununua gari, basi nimekuwa sina raha nae moyo wangu umejikunja sana mimi kimaisha nimemzidi ila akinunua gari atakuwa juu yangu.

Je, hii ni kawaida au ndo naanza kuwa na roho chafu, binafsi sipendi kumchukia mtu au kumuona katika hali mbaya ila akifanifikiwa roho inauma.

Nawasilisha..
 
Watu kama nyinyi mko wengi sana Tanzania hii..ila moja ya sababu kuu inayosababisha mtu awe hivi ni kutokea kwenye familia masikini...umetokea kwenye familia yenye dhiki...kumiliki gari ni jambo la kawaida sana...dunia ya leo kuna gari mpaka za millioni 2..tafuta corona old model ujue bei yake ....jaribu kubadirika vinginevyo utaanza kushinda kwa waganga kuwaroga wenzio..
 
Watu kama nyinyi mko wengi sana Tanzania hii..ila moja ya sababu kuu inayosababisha mtu awe hivi ni kutokea kwenye familia masikini...umetokea kwenye familia yenye dhiki...kumiliki gari ni jambo la kawaida sana...dunia ya leo kuna gari mpaka za millioni 2..tafuta corona old model ujue bei yake ....jaribu kubadirika vinginevyo utaanza kushinda kwa waganga kuwaroga wenzio..

Too bad sijakulia kwenye familia ya kimaskini kwetu ni middle class hata mzee wangu anamiliki gari
 
Tena ukiiendeza utakuwa mshirikina maana utawaendea kwa waganga wote wenye mafanikio. Jitambue mapema mrudie Mungu wako omba toba na jitakase uwe safi. Mungu ni mwingi wa Rehema atakusaidia
 
Habarini za humu JF,

Mimi ni kijana wa umri miaka 27. Ninafanya kazi katika company flani hivi. Nataka niulize je hii ni dalili ya kuwa mchawi au lah?

Kutokana na katabia ka kuona wivu maendele ya watu naumia moyoni na ninakuwa na mawazo pia. Leo kuna mtu ninafanya nae kazi kaniambia anataka kununua gari, basi nimekuwa sina raha nae moyo wangu umejikunja sana mimi kimaisha nimemzidi ila akinunua gari atakuwa juu yangu.

Je, hii ni kawaida au ndo naanza kuwa na roho chafu, binafsi sipendi kumchukia mtu au kumuona katika hali mbaya ila akifanifikiwa roho inauma.

Nawasilisha..
Huo tunaitaga wivu wakike yani😂
 
Habarini za humu JF,

Mimi ni kijana wa umri miaka 27. Ninafanya kazi katika company flani hivi. Nataka niulize je hii ni dalili ya kuwa mchawi au lah?

Kutokana na katabia ka kuona wivu maendele ya watu naumia moyoni na ninakuwa na mawazo pia. Leo kuna mtu ninafanya nae kazi kaniambia anataka kununua gari, basi nimekuwa sina raha nae moyo wangu umejikunja sana mimi kimaisha nimemzidi ila akinunua gari atakuwa juu yangu.

Je, hii ni kawaida au ndo naanza kuwa na roho chafu, binafsi sipendi kumchukia mtu au kumuona katika hali mbaya ila akifanifikiwa roho inauma.

Nawasilisha..
Hiyo sio hali ya kawaida kwa kweli.

Mambo yako ya kiroho yakoje? Una connection na Mwenyezi Mungu?

Nakushauri uonane na viongozi wako wa kiroho waweze kukusaidia.
 
Back
Top Bottom