Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Naona mnaguswa tu ila hamtaki kufunguka . . .why??
Tena we noahism uliniahidi kurudi.
Niaje kaka?
Kipipi vingine ujue havielezeki kwa maneno maana hadi tumeishia kupenda I jst wanna be close to you acha tu....
utamu mwingine hauelezeki hahahaha
 
Last edited by a moderator:

la haul la kwata... natamani kurudia ujana lakini wapi wakati ukuta........

mkuu hapo nilipoweka red nahisi ni typing error amaa kuna maana ingine
 
la haul la kwata... natamani kurudia ujana lakini wapi wakati ukuta........

mkuu hapo nilipoweka red nahisi ni typing error amaa kuna maana ingine

Mistake rafiki, sorry if umekuwa offended mwaya. Nilimaanisha KUMBATIO. Thanks also for your time reading.
 

Mh! we Kipipi weweee, hivi haujawahi kuniota kweli wewe?
 
Last edited by a moderator:
mmmhhhhhh!! Uuuuuuuh! ammmmmmmm! kapipi, wewe kwa kweli umenikuna sehemu , Loh! weka nyingine, hii nimerekodi naenda iweka home leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…