Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Because I love you
U always in ma mind
Ma heart, ma soul . . .
I just wanna be Close to you!
Kipipi thanks kwa wimbo wako uloweza kunitoa machimboni Mererani!
It shows how much you missed me!
Miss you so much swthrt!

Naomba ufikishe salamu zangu kwa wanajamvi wote!
Hope Mr Rocky utaniona baadae humuhumu!
 
Last edited by a moderator:
Ndio unanifukuza au ?
Copy kwa Mr Rocky

Waooh!
Ndg yangu , wajua sikuelewielewi ni kipi kilichokusibu! Kwani even via mobile hukua ukipatikana!
Pia ni kama hujanitendea haki ujue?
Because refar ulivyo niconvice mi kurejesha majeshi, meanwhile muhamasishaji ukapotea bila data mahsusi ! So far nini kipo nyuma ya pazia ?
 
Last edited by a moderator:
Waooh!
Ndg yangu , wajua sikuelewielewi ni kipi kilichokusibu! Kwani even via mobile hukua ukipatikana!
Pia ni kama hujanitendea haki ujue?
Because refar ulivyo niconvice mi kurejesha majeshi, meanwhile muhamasishaji ukapotea bila data mahsusi ! So far nini kipo nyuma ya pazia ?
Kaka naomba kukujulisha kuwa mi ni mzima kabisa tena sina tatizo lolote!
Kamobile sipatikani kweli ila tuko pamoja!
 
hela unazodaiwa na Bishanga ziko wapi?

Huyo Mzushi wako hana anachokidai kwa 52!
Sanasana huyo Bepari wako used alikuja Mwz akitokea Bkb mwaka jana August, akakwama hapa fare ya Kurudia Dar, nikamuombea lifti kwa washkaji zangu, wakampakia kwny Fuso nyuma. Kilichoniskitisha ile gari ilikua via Ar, nikampa gunia 3 za Mkaa & na Kuku wa 3 ampelekee 52, hakufikisha mtwana huyo! Akalala mazima hadi leo!
Lakini tushamsamehe kabla!
Kama hao kuku na mkaa na ww ulipatisipeti kutumia, na ww tumekusamehe.
 
Huyo Mzushi wako hana anachokidai kwa 52!
Sanasana huyo Bepari wako used alikuja Mwz akitokea Bkb mwaka jana August, akakwama hapa fare ya Kurudia Dar, nikamuombea lifti kwa washkaji zangu, wakampakia kwny Fuso nyuma. Kilichoniskitisha ile gari ilikua via Ar, nikampa gunia 3 za Mkaa & na Kuku wa 3 ampelekee 52, hakufikisha mtwana huyo! Akalala mazima hadi leo!
Lakini tushamsamehe kabla!
Kama hao kuku na mkaa na ww ulipatisipeti kutumia, na ww tumekusamehe.
Umeona eeeh
Hawa njaa zinawasumbua tu achana nao!
 
Kipipi thanks kwa wimbo wako uloweza kunitoa machimboni Mererani!
It shows how much you missed me!
Miss you so much swthrt!

Naomba ufikishe salamu zangu kwa wanajamvi wote!
Hope Mr Rocky utaniona baadae humuhumu!


Ni vizuri umeenjoy wimbo ila mi sijakumiss hata!
Ila nilitaka tu uache tabia yako ya kuchungulia wenzio.
Hope wanajamvi wamekuona na ubishi wako maana ulikuwa unaitwa ila unakula bati tu.
Hivi hukucheza kombolela utotoni mpaka ujifichefiche namna hiyo? lol


............:behindsofa:
 
Ni vizuri umeenjoy wimbo ila mi nakumiss hata silali kwa raha!
Ila nilitaka tu uache tabia yako ya kuchungulia wenzio.
Hope wanajamvi wamekuona na ubishi wako maana ulikuwa unaitwa ila unakula bati tu.
Hivi hukucheza kombolela utotoni mpaka ujifichefiche namna hiyo? lol


............:behindsofa:
haya mama Miss you too.
Hope leo utalala kwa raha.
 
Back
Top Bottom