Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Ni daraja gani lisilopitika . . .nieleze nipae angani!!!

Ewaaaaaaaaaaah!!!
Hope umemfikia Mr. Loya na nina imani ametabasamu kwa mawimbi makubwa kbs!

thanx kipipi kwa kutuwekea huu wimbo huku maana mpaka zawadi nimeletewa coz of that song!loya kafurah kinoma!
 
Dah . . .kweli umeguswa mpendwa, maelezo yako tu yana ujazo!
Unajua kuna mambo ambayo ukiyaona ama kusikia yanaleta kumbukumbu ya jambo flani,
mpaka ukahisi labda kuna mtu kayasoma mawazo yako.

Kizuri ni kwamba,
From such things, unaweza kupata msisitizo wa hisia zako na kile ukifikiriacho pia.
Vile vile unaweza kujisahihisha we mwenyewe na kuona kile unachoface kina uzito gani
na hatimaye kupata possible answers if not the solution kabisa.

Mfano: Kama kuna daraja lisilopitika, kumbe basi kuna alternative ya kupaa angani . . .LOL!
So to you . . . kama barabara ni mbovu tunapaa na fastjet au sio besti??? hahah

All because of love and faithfulness . . .right??
That means upo tayari kufanya kitu tofauti kinachowezekana kwa ajili ya kuwa na mpendwa wako.
Jamani mnaosingiziaga distance mioyo yenu haina utayari . . . mshindwe!

Good for you KOKUTONA, Kipipi loves you too!
Kipipi, you finish it all, no ingredients to add.

Mwaaaaaah
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Pole mdogo wangu, ntakuletea king'amudhi jioni uje uione!

But kwa baadhi ya maneno,
Here we can go . . .

Ni kitu gani kinachotufanya, mimi nawe tuwe mbali.
Ni daraja gani lisilpitika, nieleze nipae angani.

Nimechoka am so lonely.
Kila nipitapo watu wanitaka kimapenzi.
Siwezi kwakuwa, nimeshakuhifadhi wewe . . .ndani ya moyo wangu.

Because I love you
You always in ma mind
Ma heart . . . ma soul . .I just wanna be close to you!!!
sijausikiliza huo wimbo lakini kwa maneno haya ni kama hayo mapenzi yapo upande mmoja.......
sasa kama ndo hivyo kazi inaanzia hapo... hata upae angani bado hutamfikia......
nakumbuka rafiki yangu BAK anasisitiza sana kupenda unapopendwa, otherwise ndo kila siku itakuwa kulalamika kimtindo huu
 
Last edited by a moderator:
Mrs chimbuvu sijui kaniendea tanga?nina wasiwasi coz sijamuona siku nyingi au ndio anapanga mbinu mbadala ya kupinga ndoa,mh,hata sielewi!
 
Kabisa rafiki FP kung'ang'aniza penzi ni kujitafutia magonjwa ya moyo na kukosa raha kwa vitu ambavyo viko nje ya uwezo wako.



sijausikiliza huo wimbo lakini kwa maneno haya ni kama hayo mapenzi yapo upande mmoja.......
sasa kama ndo hivyo kazi inaanzia hapo... hata upae angani bado hutamfikia......
nakumbuka rafiki yangu BAK anasisitiza sana kupenda unapopendwa, otherwise ndo kila siku itakuwa kulalamika kimtindo huu
 
Last edited by a moderator:
sijausikiliza huo wimbo lakini kwa maneno haya ni kama hayo mapenzi yapo upande mmoja.......
sasa kama ndo hivyo kazi inaanzia hapo... hata upae angani bado hutamfikia......
nakumbuka rafiki yangu BAK anasisitiza sana kupenda unapopendwa, otherwise ndo kila siku itakuwa kulalamika kimtindo huu


Dada hayo unayoyasema yaweza kuwa na ukweli.
Ila ukiingalia video na matendo yaliyomo utaona utofauti wake.
Ni distance tu ila mapenzi yapo kotekote.
 
Back
Top Bottom