Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 890
- 1,236
Hbr ya jioni mabaharia wa JF niende kwenye mada.
Ni dawa gani anayoweza kutumia mtu aliyesex siku za hatari na hilo limebainika baada ya ucku huu na masaa 72 yameshapita.
Kuna dawa ambazo kwa uzoefu wangu nimewahi kuzitumia za ndani ya masaa 72 unameza vidonge 2 mkupuo.
Je dawa ipi inaweza kutumika ili kuzuia mimba hii, reality silo tyr kuitwa baba muda huu.
Nawasilisha.
Ni dawa gani anayoweza kutumia mtu aliyesex siku za hatari na hilo limebainika baada ya ucku huu na masaa 72 yameshapita.
Kuna dawa ambazo kwa uzoefu wangu nimewahi kuzitumia za ndani ya masaa 72 unameza vidonge 2 mkupuo.
Je dawa ipi inaweza kutumika ili kuzuia mimba hii, reality silo tyr kuitwa baba muda huu.
Nawasilisha.