Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam
Wote tumeshuhudia bwana Freeman Mbowe akiapa kushinda uchaguzi inyeshe mvua au liwake jua.
Ukiangalia nguvu za kiuchumi za huyo mheshimiwa ni kwamba atatumia rasilimali zake kushawishi wajumbe wa kamati kuu kumchagua kwa kura za kishindo.
Ukija upande wa pili mh Lissu amelalamika mara kadha kuwepo kwa rushwa ktk chaguzi za kanda. Lissu anakubalika kwa hoja na idadi kubwa ya wajumbe ila hawezi kushinda uchaguzi hata akipigiwa kura na wajumbe wote ndo hapo tunasema lazima kutakuwa na goli la mkono ukizingatia uhusiano mwema uliopo kati CCM na bwana Mbowe.
Muda ni rafiki wa kweli utaongea.
Wote tumeshuhudia bwana Freeman Mbowe akiapa kushinda uchaguzi inyeshe mvua au liwake jua.
Ukiangalia nguvu za kiuchumi za huyo mheshimiwa ni kwamba atatumia rasilimali zake kushawishi wajumbe wa kamati kuu kumchagua kwa kura za kishindo.
Ukija upande wa pili mh Lissu amelalamika mara kadha kuwepo kwa rushwa ktk chaguzi za kanda. Lissu anakubalika kwa hoja na idadi kubwa ya wajumbe ila hawezi kushinda uchaguzi hata akipigiwa kura na wajumbe wote ndo hapo tunasema lazima kutakuwa na goli la mkono ukizingatia uhusiano mwema uliopo kati CCM na bwana Mbowe.
Muda ni rafiki wa kweli utaongea.