Ni dhahiri kuwa CHADEMA wameikataa ofa ya kupewa wabunge wa mezani walioahidiwa na CCM. Maana sasa wamechachamaa

Ni dhahiri kuwa CHADEMA wameikataa ofa ya kupewa wabunge wa mezani walioahidiwa na CCM. Maana sasa wamechachamaa

Hawaipati kutoka kwa nani?

Katiba huandikwa na wananchi wenyewe..

Serikali inatakiwa ku - facilitate tu zoezi hili..

Wananchi wakichoka kuibembeleza serikali kuchukua hatua za ku - facilitate mchakato, basi itabidi ifanye hivyo kwa kulazimishwa...!!

Asante[emoji120]
Ndoto hizi za mchana.
Hatukuiondoa CCM ilipokuwa taabani bungeni, itakuwa leo?


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kauli za kiongozi mwandamizi wa CCM ndugu A. Kinana kuwa Chadema wanakiuka misingi ya maridhiano ni picha kuwa Chadema wanashusha maneno mazito yanayoumiza umtima.

Sakata la bandari limeibua mengi. Huko mikoani Chadema wanashambulia majukwaa . Wanaongea mengiii kiasi cha kuonekana wanakiuka maridhiano. Picha ni kuwa sasa hata ubunge wa ofa hawautaki tena kama hapo awali, ambapo walionekana kufurahia fursa na kuanza kurandaranda majimboni.

Sasa hivi wapo busy kumwaga sumu...
Kwani kulikuwa na makubaliano? Wawape wabunge wa ofa ACt
 
mimi rai yangu kwa polisi kufanya kazi kwa uweledi kama ilivyo ada uchaguzi mdogo wa mwakani
 
Hawaipati kutoka kwa nani?

Katiba huandikwa na wananchi wenyewe..

Serikali inatakiwa ku - facilitate tu zoezi hili..

Wananchi wakichoka kuibembeleza serikali kuchukua hatua za ku - facilitate mchakato, basi itabidi ifanye hivyo kwa kulazimishwa...!!

Asante[emoji120]
Keyboard worrier!
Mwendazake alisema mara moja tu hataki habari ya katiba mpya hao wananchi hawakuwepo?
 
Katiba na ya kina nani hadi useme hawapati. Siku ccm ikigeuka wapinzani ndipo wataona umuhimu wa katiba bora
 
Keyboard worrier!
Mwendazake alisema mara moja tu hataki habari ya katiba mpya hao wananchi hawakuwepo?
wewe ndio keyboard worrier huyo mwandazake unafikir kwanin alikufa? kama hujui nakwambia sasa kuwa alikufa kwa upumbavu huo na huyo mamayenu ajaribu kufanya mnavyodanganyana kwenye makorido ya lumumba nyie makuwad ya warabu koko dpworld, lazima afe narudia tena akifanya huo upumbavu atakufa.
 
Sasa hata Katiba Mpya hawapati
Ni kweli, katiba kwa njia ya amani hawataipata, lakini hata sisi tunajua katiba ya maridhiano itakuwa ya kisanii. Katiba ya kweli ya wananchi itapatikana aidha kwa machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi fullstop.
 
Back
Top Bottom