Ni dhahiri kuwa Rostam Azizi na Kundi lake ndio waliodhamini safari ya Rais na kundi lote lile. Watanzania tukae mkao wa kutafunwa

Ni dhahiri kuwa Rostam Azizi na Kundi lake ndio waliodhamini safari ya Rais na kundi lote lile. Watanzania tukae mkao wa kutafunwa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.

Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?

Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.

20220429_133552.jpg
 
Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.

Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?

Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno. View attachment 2204728
Katika picha hiyo, Je Chief Hangaya anaonekana kuelewa kitu kinachoendelea kwenye utiaji saini huo?
 
Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.

Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?

Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno. View attachment 2204728
UNAKAMULIWAJE SASA WEWE MLALA HOI?
 
Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.

Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?

Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno. View attachment 2204728
Ukiambiwa uthibitisho utaweza kuutoa?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Mkuu; yaani nchi hii kati ya watu ambao huwa ninawaona ni wazalendo kabisa ni pamoja na huyu mtu. Halafu sasa yuko smart na mstaarabu sana. Akiona mnamletea za kuleta, anatoweka au anakaa pembeni. RA mimi huwa namuona kati ya watu muhimu sana kwenye nchi hii; sawa tu kama alivyokuwa Hayati R. Mengi.

Huyu mtu amerudi kufanya kazi naomba sana watu sasa wasimbugudhi tena; wamwache afanye kazi.
 
Punguza kulalamika jamaa. Unalalamika sana aisee. Unasahau umri wako unaenda na siku hazirudi nyuma! Jaribu kupambania life lako sometimes sio kulalamika tu kila siku.

Eti tukae mkao wa kutafunwa, utafunwe nini wewe. Kwann kila kitu unakiona kwenye negative tu aisee, ni tabia mbaya sana. Yaani wewe kwakuwa tu ulikuwa na mahaba na Magu basi automatically unajiweka kwenye nafasi ya kumchukia mama na matokeo yake unachukia kila anachofanya, unajisababishia magonjwa ya moyo bure we jamaa. Kulalamika hakukusaidii kunakuzeesha na kukupa simanzi za kudumu.

Simama anza kuwaza positive na kama hii itakushinda basi kaa kimya. Focus kwenye afya yako na familia yako
 
Punguza kulalamika jamaa. Unalalamika sana aisee. Unasahau umri wako unaenda na siku hazirudi nyuma! Jaribu kupambania life lako sometimes sio kulalamika tu kila siku.

Eti tukae mkao wa kutafunwa, utafunwe nini wewe. Kwann kila kitu unakiona kwenye negative tu aisee, ni tabia mbaya sana. Yaani wewe kwakuwa tu ulikuwa na mahaba na Magu basi automatical unajiweka kwenye nafasi ya kumchukia mama na matokeo yake unachukia kila anachofanya, unajisababishia magonjwa ya moyo bure we jamaa. Kulalamika hakukusaidii kunakuzeesha na kukupa simanzi za kudumu.

Simama anza kuwaza positive na kama hii itakushinda basi kaa kimya. Focus kwenye afya yako na familia yako
Haya sio malalamiko labda kama hujui kusoma na kuandika
 
Back
Top Bottom