balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Acha wale na sisi tutaambulia kuliko wanakula wale wanozikimbizia nje ya nchi.Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Kavue chupiWe naye kapitishe vimemoo
Unaweza kueleza chuki ipo wapi ktk huo uzi ndugu badala ya kutoa hoja hafifu za ki ccm?Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Kila mtu ana mtu nyuma yake, sasa wao waendelee laumu badala ya kutafuta watuUshawahi kuona mtu kutoka familia duni badaye anakuwa tajiri
Ushawahi ona mtoto yatima huko mbeleni anakuwa bilionea
Haya si yanatokeaga
Ova
Conspiracy theory.Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Kuna watu hawajui kutofautisha badhi ya maneno waache tu ndugu sio wote walienda shule kusoma wangine walifuata chakula cha shule.Hayo sio malalamiko
Si uchawi tu kila kitu kibaya ni sababu ya UmasikiniUmaskini ni chanzo cha UCHAWI.
Sijaona chuki yoyote hapo, tatizo umejaa mihemko ya kikada!Umasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Punguza hasira hizi ndo nyakati za kutokaKavue chupi
Shikamoo CARDLESS. Nimekuamkia sio kwa sababu ya umri wako, bali kwa heshima ya comment yakoUmasikini mbaya sana. Yaan badala ya kujifunza namna gani unaweza kufikia level ya Rostam ww unaanza kumchukia. wewe ni MCHAWI.
Sio malalamiko bali ni chuki, inda, hasadi na roho mbayaHayo sio malalamiko
Nyie ndo mnapromote weziKwamba we unalipa kodi kuliko Caspian au Axian au Mirambo?
Kuna mkono wa Rostam kwenye siasa za nchi hii kwa miaka mingi sasa. Msimuandame. Mwacheni afaidi matunda ya kutumia akili.Uzinduzi wa kiwanda chake cha Morogoro ndicho kitovu cha kuwa na Rais wa bila kuchaguliwa na Wananchi.
Mwacheni mwanaume afaidi matunda ya kutumia akili. Tunawahitaji akina Rostam 1000Ni wazi kabisa na kuna ushahidi wa kimazingira kuwa hayo mabilioni ya shilingi anayodai mkuu wa nchi kuwa yaligaharamiwa na watanzania kuwezesha ziara yake huko Usa yatakuwa yalitolewa na Rostam Azizi na kundi lake.
Nani mtanzania wa kawaida anayeweza kuchangisha na kupata Zaidi ya bil 11?
Hawa watakuwa ni mabilionea wajanja na wameshaunda network ya kuja kutukamua watanzania. Tutaumizwa mno.
Ndiyo. As long as he is poor.Ina maana hata CAG anayefanya ukaguzi na kungundua ubadhirifu na kuweka wazi nae ana wivu?
Wenye roho za kishetani kama akina Nyankurungu2020 wataelewa basi?Mkuu; yaani nchi hii kati ya watu ambao huwa ninawaona ni wazalendo kabisa ni pamoja na huyu mtu. Halafu sasa yuko smart na mstaarabu sana. Akiona mnamletea za kuleta, anatoweka au anakaa pembeni. RA mimi huwa namuona kati ya watu muhimu sana kwenye nchi hii; sawa tu kama alivyokuwa Hayati R. Mengi.
Huyu mtu amerudi kufanya kazi naomba sana watu sasa wasimbugudhi tena; wamwache afanye kazi.
Unauliza kuwa mbona katiba hii ilipoandikwa hatukuikataa unashindwa kuelewa jambo dogo kabisa kuwa mazingira ya kipindi kile ni tofauti na mazingira ya wakati huu kwa maana ya kwamba katiba ambayo ilifaa/ilifit mazingira ya kipindi kile haiwezi kufaa/kufit mazingira ya wakati huu.SEMA KUNA MAMBO YA KUREKEBISHA TU MACHACHE LAKINI MMEKOMAA UTAFIKIRI ILIYOPO HAIFANYI KAZI MBONA ILIPOANDIKWA HAMKUIKATAA? YAANI WEWE HUNA TOFAUTI NA NDOTO ZA KILA MWANAMKE MVIVU KUTAKA KUOLEWA NA TAJIRI