rodian
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 246
- 323
Habari wakuu,
Nadhani ni muda mrefu tangu nipost last thread. Nashukuru Mungu ni mzima wa afya na kutokana na majukumu ya hapa na pale, nikashindwa ku-post, naamini hakijaaribika kitu kwani pamoja na yote nimekuwa nikipata nafasi za kusoma thread za wanajamii wenzangu,🙂 ingawa ntaimiss free basics, vimeumana, haipo kwa sasa.
Wakuu nirudi kwenye maada yangu na kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nimekuwa kwenye changamoto baada ya kuanza kuvaa barakoa, yaani Watanzania wenzangu hawapendi nikivaa, iwe kwenye daladala, mtaani au nikiwa sehemu ya majukumu yangu, au ukitatisha tu sehemu lazima wakuite na waanze kukuhoji kama Corona ipo na utalazimishwa kuivua.
Je, nauliza, kuvaa barakoa ni dhambi? Kazi ambayo ninayo kwa muda huu inanilazimu nivae. Kwa mfano, Posta pale ukiingia kwenye shule au baadhi ya ofisi lazima uvae barakoa.
Naomba majibu Wakuu.
Nawasilisha.
Nadhani ni muda mrefu tangu nipost last thread. Nashukuru Mungu ni mzima wa afya na kutokana na majukumu ya hapa na pale, nikashindwa ku-post, naamini hakijaaribika kitu kwani pamoja na yote nimekuwa nikipata nafasi za kusoma thread za wanajamii wenzangu,🙂 ingawa ntaimiss free basics, vimeumana, haipo kwa sasa.
Wakuu nirudi kwenye maada yangu na kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nimekuwa kwenye changamoto baada ya kuanza kuvaa barakoa, yaani Watanzania wenzangu hawapendi nikivaa, iwe kwenye daladala, mtaani au nikiwa sehemu ya majukumu yangu, au ukitatisha tu sehemu lazima wakuite na waanze kukuhoji kama Corona ipo na utalazimishwa kuivua.
Je, nauliza, kuvaa barakoa ni dhambi? Kazi ambayo ninayo kwa muda huu inanilazimu nivae. Kwa mfano, Posta pale ukiingia kwenye shule au baadhi ya ofisi lazima uvae barakoa.
Naomba majibu Wakuu.
Nawasilisha.