Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 815
- 1,983
Ni dharau gani ulikutana nayo katika maisha yako ikakufanya upambane kutafuta pesa sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake bwana!
Kuna mwanamke fulani hivi kila nikimkumbuka napata hasira sana na morali ya kazi inakua juu sana.
Mwanamke aliyenipenda nami nilimpenda ila vile sikua na hela alishindwa kabisa kuvumilia .
Siku ya mwisho aliniambia neno nadhani lile lilikuwa ni zaidi ya dharau , lakini tu ni seme ni dharau.
🤣🤣🤣🤭Mshkaji
"Nioneshe buku hapo nikupe laki hii hapa"
🤣🤣🤣🤣🤭 Yeye nakupenda, upendo wa kweli huvumiliaWanawake bwana!
Kuna mwanamke fulani hivi kila nikimkumbuka napata hasira sana na morali ya kazi inakua juu sana.
Mwanamke aliyenipenda nami nilimpenda ila vile sikua na hela alishindwa kabisa kuvumilia .
Siku ya mwisho aliniambia neno nadhani lile lilikuwa ni zaidi ya dharau , lakini tu ni seme ni dharau.
Ivo yaan 🤒Ya Dunia hutoyamaliza...tafuta pesa Kwa hiari tu...kutafuta sababu ya mtu utaishia kuua mama au wanao... taratiiibu utapata na hutozikwa nazo
Hata usinipe pole ,nadhani pole anastahili yeye sasa.Polee [emoji17][emoji17]
Mhh, sio kwa wanawake, wanawake upendo wa kweli unazaa kuvumilia hupatika si katika umaskini .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960] Yeye nakupenda, upendo wa kweli huvumilia
Pole sana mkuu inaumiza sanaWanawake bwana!
Kuna mwanamke fulani hivi kila nikimkumbuka napata hasira sana na morali ya kazi inakua juu sana.
Mwanamke aliyenipenda nami nilimpenda ila vile sikua na hela alishindwa kabisa kuvumilia
Kama utani kumbe boya kashanisomea gap 😂😂😂🤣🤣🤣🤭
Asante ndugu yangu, mwanzoni huwa inaumiza au ikiwa ni mtu anaetumia hisia zaidi, ila kimantiki nadhani nafasi nzuri ya kutoka engle moja kwenda nyingine.Pole sana mkuu inaumiza sana
Yes inawezekana maumivu aliyokusababishia yamekuwa sababu ya nguvu ya hatua ya mafanikio yako, yamekupush. Sio kila baya linazalisha baya, kuna mabaya yanaleta mazuri kwenye maisha yetu.Asante ndugu yangu, mwanzoni huwa inaumiza au ikiwa ni mtu anaetumia hisia zaidi, ila kimantiki nadhani nafasi nzuri ya kutoka engle moja kwenda nyingine.
Mi niliwahi kujifunza kitu kimoja ndugu yangu, kamwe sitamdarau mtu , kwa sababu yoyote hata kama yeye amenidharau.Yes inawezekana maumivu aliyokusababishia yamekuwa sababu ya nguvu ya hatua ya mafanikio yako, yamekupush. Sio kila baya linazalisha baya, kuna mabaya yanaleta mazuri kwenye maisha yetu.
Huyo ni mimi kabisaMi niliwahi kujifunza kitu kimoja ndugu yangu, kamwe sitamdarau mtu , kwa sababu yoyote hata kama yeye amenidharau.
Pia mtu yoyote akileta dharau kwangu sita react kwa negative hata kama dharau imekua kubwa kiasi gani, badala yake naangalia ni angle gani imezaa hio dharau, je ni kweli ndivyo ilivyo? Kama nikijiona nilistahili najisahihisa
🤣🤣🤣Kama utani kumbe boya kashanisomea gap 😂😂😂