Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Maisha haya yaache tu, tumetoka mbali na maisha ya utafutaji Mungu tu ndio anajua tuliyopitia na ilivyotugharimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha haya yaache tu, tumetoka mbali na maisha ya utafutaji Mungu tu ndio anajua tuliyopitia na ilivyotugharimu.
Hakika Mungu mwemaMaisha haya yaache tu, tumetoka mbali na maisha ya utafutaji Mungu tu ndio anajua tuliyopitia na ilivyotugharimu.
Sana bado anatupiganiaHakika Mungu mwema
AminaSana bado anatupigania
Mwalimu wa MATH aliniambia Sitafika popote..
Mamayoo HAPA NI WAPI?!
Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae
Ilikusaidia, mara nyingi wakati tunapojaribu kumprove mtu wrong ndipo huko huko indirectly unatoja kwenye njia uliyokuwa unaiendea kwa ubayaSiku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae
Naomba niishii na hiii. [emoji120][emoji120]Mi niliwahi kujifunza kitu kimoja ndugu yangu, kamwe sitamdarau mtu , kwa sababu yoyote hata kama yeye amenidharau.
Pia mtu yoyote akileta dharau kwangu sita react kwa negative hata kama dharau imekua kubwa kiasi gani, badala yake naangalia ni angle gani imezaa hio dharau, je ni kweli ndivyo ilivyo? Kama nikijiona nilistahili najisahihisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa balaa.Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae