Ni dharau gani ulikutana nayo katika maisha yako?

Ni dharau gani ulikutana nayo katika maisha yako?

Ungeanza wewe kwanza kusimulia mtoa mada. Ndio tufunguke.
 
Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae
 
Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae

[emoji23][emoji23][emoji23] umenchekesha
 
Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae
Ilikusaidia, mara nyingi wakati tunapojaribu kumprove mtu wrong ndipo huko huko indirectly unatoja kwenye njia uliyokuwa unaiendea kwa ubaya
 
Mi niliwahi kujifunza kitu kimoja ndugu yangu, kamwe sitamdarau mtu , kwa sababu yoyote hata kama yeye amenidharau.
Pia mtu yoyote akileta dharau kwangu sita react kwa negative hata kama dharau imekua kubwa kiasi gani, badala yake naangalia ni angle gani imezaa hio dharau, je ni kweli ndivyo ilivyo? Kama nikijiona nilistahili najisahihisa
Naomba niishii na hiii. [emoji120][emoji120]
 
Siku ya Graduation ticha alisema mbele ya wazazi kwamba wawe na Mimi uko mtaani nisipokuwa Teja basi nitakuwa jambazi but after miaka 2 nimerudi kuchukua academic yangu asee yule maza hakuamini dadeq zake na nikampiga na laki usomi ..yule mama alikuwa mnoko sana mmae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa balaa.
 
Back
Top Bottom