Ni dharura: Je, hili ni kawaida kwenye hii mimba?

Ni dharura: Je, hili ni kawaida kwenye hii mimba?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Tarehe ya mwisho kuona perion ilikuwa tar 28 Oct. Calculations zinasema EDD yake ni 03 July...na huyu mjamzito mpaka leo hii tar 06 August, bado hajajifungua wala uchungu...?

Je kuna hatari? Kama ipo nini kifanyike...? Na kama ni kawaida hakuna hatari...hii inaweza ikafika mpaka lini..? Na kama ikizidi muda unaohitajika mjamzito anafanywaje...?

NB:
Zahanati Walisema mpaka kesho j3 wanampasua.. Hii ipo sawa...? Au tunaweza kusubiri zaidi...?
 
Tarehe ya mwisho kuona perion ilikuwa tar 28 Oct. Calculations zinasema EDD yake ni 03 July...na huyu mjamzito mpaka leo hii tar 06 August, bado hajajifungua wala uchungu...?

Je kuna hatari? Kama ipo nini kifanyike...? Na kama ni kawaida hakuna hatari...hii inaweza ikafika mpaka lini..? Na kama ikizidi muda unaohitajika mjamzito anafanywaje...?

NB:
Zahanati Walisema mpaka kesho j3 wanampasua.. Hii ipo sawa...? Au tunaweza kusubiri zaidi...?
Habari!

Yote yanategemea uhakika wa tarehe yake ya mwisho kupata siku(siku aliyoanza). Pia kutokuwepo kwa kasoro yoyote kwenye mwenendo wa ujauzito (mama na mtoto).

1: Kama iko sawa:

28.10.2022 + siku 7 na miezi 9 = 35.19.2023 = 04.08.2023

2: Kuanzia EDD, huwa inakubalika kuongeza wiki moja na nusu (siku 10) kama hakuna shida yoyote inayoonekana.
Hivyo, mpaka tarehe 14.8.2023

3: Baada ya hapo ni:

A: Kuanzisha uchungu kama hakuna shida

B: Upasuaji kama kuna sababu ya kutumia njia hiyo

NB: Jadiliana vyema na kwa utulivu na.mtoa huduma ya afya juu ya maamzi anayofikiria kuyafanya na atakufahamisha.
 
Kama kitabibu wataona kuna hitilafu basi wana induce labour ila kama kila kitu kipo sawa kuna window period ya variation ya at least siku 14 kutoka EDD.

Mungu atamvua salama.
 
Kama kitabibu wataona kuna hitilafu basi wana induce labour ila kama kila kitu kipo sawa kuna window period ya variation ya at least siku 14 kutoka EDD.

Mungu atamvua salama.
Siku 14, studies zinaonyesha kunaanza kuwa na placenta calcification hence plancenta insufficiency kwenye oksijeni na nutrients delivery.
 
Tarehe ya mwisho kuona perion ilikuwa tar 28 Oct. Calculations zinasema EDD yake ni 03 July...na huyu mjamzito mpaka leo hii tar 06 August, bado hajajifungua wala uchungu...?

Je kuna hatari? Kama ipo nini kifanyike...? Na kama ni kawaida hakuna hatari...hii inaweza ikafika mpaka lini..? Na kama ikizidi muda unaohitajika mjamzito anafanywaje...?

NB:
Zahanati Walisema mpaka kesho j3 wanampasua.. Hii ipo sawa...? Au tunaweza kusubiri zaidi...?
Waache madaktari wafanye kazi yao, mambo mengine sio ya kuleta jf
 
Back
Top Bottom