Hahahahaaaahaaaaa Zari ni bosi kibarua chake ndo alikua ana fanya majukumu yote ya bosi
Zari the boss ledy.....wema the.........uwiiiiiiiirrrrrrrr...
Ile paty ilifana saana kwa kweli....
Ha haaaaa yan wema anisabish ninyimwe k? ???
Uandishi wako unakera sana!
wema katika kosa alilolifanya ni kuondoka kwa daimond kwa kudai anasafiria nyota yake. Yapo wapi mapenzi hapo? Kwani mama akiwa maarufu ni kosa kumbeba mzee?
Hii imeonyesha wazi kuwa wema hakuwa hata na chembe ya mapenzi kwa mwenzake.
Diamond kapiga utosini, kashusha mtoto safi. Zari kamzidi wema kwa sura, mfinyango wa umbile, hips na miguu. Kamzidi kila kitu.
inferiolity complex, wema anaingiaje kwenye thread hii? Nampongeza kikwete kwa kusaini sheria mpya ya mitandao kenge wote mtashika adabu.