NI Dk SALIM PEKEE ALIYE MSAFI CCM

NI Dk SALIM PEKEE ALIYE MSAFI CCM

......hadi tufikie mwakani oktoba tutayasikia mengi sana!
 
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa sioni cha wapiganaji wala mafisadi. sasa sioni tofauti ya Lowasa na Mwakyembe, wala Sitta na Chenge, wala Mengi na Rostam...mtu pekee ambae bado naamini ni msafi ni huyu Dk Salim aliyegombea urais2005, nadhani achukue nchi 2010..Nani ana mashaka


Mafisadi mna mbinu nyingi za kutaka kuyumbisha wananchi na kuondoa akili zao kwenye mada muhimu. Mmeona fedha imeshindwa kuwasafisha sasa mnataka wote muonekane wachafu kwa uchafu wa kulazimisha.

Huu ni upumbavu, mtu hajisafishi kwa kujilinganisha na uchafu wa mwenzake.

Hakika mmefalisika
 
Geoff!
Unasema kweli tutasikia mengi. Udhaifu wa Jakaya Mrisho Kikwete kukimbilia Ikulu akiongozwa na akina RA pamoja na Teddy Lowassa bila kuwa na agenda ndiyo matokeo yake na kuamua kuwapatia mabibi zake uwaziri bila kuchuja yametufikisha hapa.

Dr. Salim ambae aliishia form six au form four put it the way you like it has only formal educaction na huo udokta ni wa heshima tu kama aliopewa Jakaya Kikwete kule Nairobi. Yeye sio msafi actually kati ya watu wa CCM corrupt he is in the lead kama mnakumbuka kuna wakati alikamata uwaziri Mkuu akatuletaa junk cars za jeshi kutoka uaarabuni.Yeye aliingiza TTCL mkenge kwa kutumia Celtel ya yule mwarabu wakajiuzia bure na hawakulipa even the said USD 60m paid by the investor was generally recapitalized and that is the strength of the current Zain cellular company. He is a very smart fisadi. Jk anateua tume iongozwe na mpuuzi Mwinyi aliyeua Azimio la Arusha na kufuta miiko ya uongozi unatarajia nini. Wakati ule Marehemu Nyerere alisema Mwinyi by then president alikuwa anashauriwa na Mama Sitti kuongoza nchi na siku hizi kaachana na Sitti hiyo busara ataipata wapi. If he was slapped by the young moslem extremist for preaching condoms in a maulid baraza what good can you expect from that old cleric cum school teacher!
 
Dk. Salim alijitoa kwenye kinya'nganyiro cha urais 2005 baada ya kuona hawezi kushinda bila ya kumwaga pesa kwa wapiga kura NEC.

Mimi naamini ndio mtu msafi pekee aliyebaki CCM ingawa kila binaadamu ana mapungufu yake lakini yeye ni bora X 1,000 ukilinganisha na wengine kwa kuwa uadilifu bado anao!!!!
 
Hivi tunataka mtu safi wa aina gani kuongoza TZ?asiye fisadi,asiye lipa visasi,asiye mbinafsi,anaye muogopa MUNGU au?
Naona mada inaelemea kwenye ufisadi kama ndio kigezo pekee.
Unaweza kuwa fisadi wa kiwango chako na ukawa talented kuongoza kwa viwango na maendeleo ya nchi yakaonekana.
 
Do you guys really know Salim? Do you know he accepted money from Abacha?

Kaka ni wewe kweli? Hope u have enough evidence to substantiate these allegations, na ukumbuke zilishajibiwa siku nyingi....

omarilyas
 
Nadhani taifa lilicheza karata vibaya kutomchagua salim kuwa mgombea 2005. Huo ndio udhaifu tulio nao bin adam, ila tulipewa fursa ya kupanga (forecast). 2010 tusifanye madudu tena acording to trend analysis
 
Kaka ni wewe kweli? Hope u have enough evidence to substantiate these allegations, na ukumbuke zilishajibiwa siku nyingi....

omarilyas
Kaka,
Ni mimi. Sikuwahi kusikia allegations hizo zikiwa refuted. So chime me in.
Unajua kwa Tz ya leo you have to prove yourself aboveboard.
 
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa sioni cha wapiganaji wala mafisadi. sasa sioni tofauti ya Lowasa na Mwakyembe, wala Sitta na Chenge, wala Mengi na Rostam...mtu pekee ambae bado naamini ni msafi ni huyu Dk Salim aliyegombea urais2005, nadhani achukue nchi 2010..Nani ana mashaka

hawezi kupata kwa kuwa system yote imeoza na uchafu ndiyo sifa ya msingi
 
Dk. Salim alijitoa kwenye kinya'nganyiro cha urais 2005 baada ya kuona hawezi kushinda bila ya kumwaga pesa kwa wapiga kura NEC.

Mimi naamini ndio mtu msafi pekee aliyebaki CCM ingawa kila binaadamu ana mapungufu yake lakini yeye ni bora X 1,000 ukilinganisha na wengine kwa kuwa uadilifu bado anao!!!!

Mkuu alijitoaje kwenye kinya'nganyiro wakati alibaki mpaka wakawa finalists watatu? Sasa alijitoa saa ngapi?
 
Huyu mtu ni Msafi.

Ukiacha maskendo ya kupikwa yaliyokuwa yanaibuliwa wakati ule na wanamtandao, kwamba huyu mtu ni HIZBU, na wakatafuta picha za kumdhalilisha za zamaani toka kwenye archieves, SIONI TATIZO LAKE!

Lakini akithubutu kugombea 2010 utaona vijizee vya Zanzibar vinavyojiita vya ASP jinsi vitakavyoibuka na kusema kwa jazba kwamba..."Muungano na Ufe kama huyu Salim akiwa Rais"!

Mimi binafsi nam`admire` sana Salim!

skendo za kupikwa ndo zipi?hakuna skendo za kupikwa hapa,kama yeye walimpikia skendo ya yeye apike zake...solong as yuko CCM na CCM imeoza no one is clean there...
 
Geoff!
Unasema kweli tutasikia mengi. Udhaifu wa Jakaya Mrisho Kikwete kukimbilia Ikulu akiongozwa na akina RA pamoja na Teddy Lowassa bila kuwa na agenda ndiyo matokeo yake na kuamua kuwapatia mabibi zake uwaziri bila kuchuja yametufikisha hapa.

Dr. Salim ambae aliishia form six au form four put it the way you like it has only formal educaction na huo udokta ni wa heshima tu kama aliopewa Jakaya Kikwete kule Nairobi. Yeye sio msafi actually kati ya watu wa CCM corrupt he is in the lead kama mnakumbuka kuna wakati alikamata uwaziri Mkuu akatuletaa junk cars za jeshi kutoka uaarabuni.Yeye aliingiza TTCL mkenge kwa kutumia Celtel ya yule mwarabu wakajiuzia bure na hawakulipa even the said USD 60m paid by the investor was generally recapitalized and that is the strength of the current Zain cellular company. He is a very smart fisadi. Jk anateua tume iongozwe na mpuuzi Mwinyi aliyeua Azimio la Arusha na kufuta miiko ya uongozi unatarajia nini. Wakati ule Marehemu Nyerere alisema Mwinyi by then president alikuwa anashauriwa na Mama Sitti kuongoza nchi na siku hizi kaachana na Sitti hiyo busara ataipata wapi. If he was slapped by the young moslem extremist for preaching condoms in a maulid baraza what good can you expect from that old cleric cum school teacher!

First off, hii habari ya usafi is relative.Hamna binadamu msafi, so let's put things in perspective. I could drop my "All The King's Men" quote but I don't want to make it boilerplate.

Salim amefanya nini? Salim si anatoka establishment ile ile ya CCM? at best Salim hata kama ni msafi personally, anakuwa dogged down na kukosa courage kwake na kukaa kimya.

Kuhusu kuishia form six hii si kweli na ni lazima tuweke record straight, ona public records za wiki yake zinavyosema hapa chini.Hata ukiondoa hizo honorary doctorates mimi najua Salim alikuwa anasoma wakati akiwa ubalozini Delhi na New York, na ana Masters kutoka Columbia. Kwa hiyo mtu ukija na uongo katika kitu kilicho wazi kama hiki tunaanza kujiuliza mengi kuhusu assertions zako na kama ziko accurate.

He was educated at Lumumba College in Zanzibar and later pursued his undergraduate studies at the St. Stephen's College of the University of Delhi and obtained his Masters degree in International Affairs from the School of International and Public Affairs at Columbia University in New York. He became a student activist in the early 1960s and was founder and first Vice President of the All-Zanzibar Student union. He holds six Doctorates (Honoris Causa) including: Doctor of Laws, the University of Philippines at Los Baños (1980), Doctor of Humanities, University of Maiduguri, Nigeria (1983), Doctor of Civil Law, University of Mauritius (1991), Doctor of Arts in International Affairs, University of Khartoum, Sudan (1995), Doctor of Philosophy in International Relations, University of Bologna, Italy (1996), and Doctor of Laws, University of Cape Town, South Africa (1998). Born in Zanzibar
 
First off, hii habari ya usafi is relative.Hamna binadamu msafi, so let's put things in perspective. I could drop my "All The King's Men" quote but I don't want to make it boilerplate.

Salim amefanya nini? Salim si anatoka establishment ile ile ya CCM? at best Salim hata kama ni msafi personally, anakuwa dogged down na kukosa courage kwake na kukaa kimya.

After what we went through with Mkapa I'm now more wary of these stealth personalities like Salim.

I don't know if it's lack of courage or if he is just apathetic but I just don't know much or rather enough, about his leadership qualities and abiliites.

I remember Mkapa, shortly after securing the nomination, he was dubbed as "Bubu" coz people didn't really hear much of anything from him. Could Salim be the same or similar? I dunno...
 
..unajua wakati wa Mwalimu hali yetu ya uchumi ilikuwa mbaya kupindukia.

..sasa nataka kujua kama Salim Salim aliwahi kum-challenge au kutofautiana na Nyerere kuhusu suala zima la kuendesha uchumi wa nchi wakati ule.

..kama alikuwa bubu tu, au 'yes-men', huku wananchi tunataabika namna ile basi huyu atakuwa hatufai asilani.
 
Back
Top Bottom