Ni experience gani? umepitia kwenye nyumba za wapangaji wengi unakumbuka nini?

Ni experience gani? umepitia kwenye nyumba za wapangaji wengi unakumbuka nini?

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
👉Nakumbuka wazee wa kuzama viwanja kurudi geto satisa watu wote wamelala😅Kila mtu ana Goma kufungua kuhofia usalama

👉Ukichelewa kuamka asubuhi bafuni foleni
👉Mwenye zamu ya umeme kuwashindisha bila umeme siku nzima
👉Jumapili lazima uwahi kufua ili upate kamba ya kuanika nguo
👉Kuazima Pasi kwa washikaji
👉Kununua mboga na chakula Ila anapika mdada jirani ambaye kipindi fulani mambo yake yakiwa hayako sawa


👉Tuambie wewe ulipitia experience ipi? Iwe nzuri au mbaya
 

Attachments

  • Screenshot_20241231_205944.jpg
    Screenshot_20241231_205944.jpg
    133.2 KB · Views: 4
Aisee ni uchawi hii ilinikuta 2007 pale Arusha full kufanya ulozi tu walikuwa wananionea wivu na husda kwa sababu mie ndio nilikuwa mpangaji mwenye vitu vingi kuanzia vyakula hadi nguo Kuna bidada hadi alikuwa ananiomba unga wa ugali msumbufu huyo hadi mkaa anaomba mwanamke yule ukimnyima umeisha usiku utalala kwa tabu sana
 
Aisee ni uchawi hii ilinikuta 2007 pale Arusha full kufanya ulozi tu walikuwa wananionea wivu na husda kwa sababu mie ndio nilikuwa mpangaji mwenye vitu vingi kuanzia vyakula hadi nguo Kuna bidada hadi alikuwa ananiomba unga wa ugali msumbufu huyo hadi mkaa anaomba mwanamke yule ukimnyima umeisha usiku utalala kwa tabu sana
Sasa walikuwa wanajuaje kama unajiweza
 
Kupiga mziki kwa kushindana wapangaji wenzako nyumba nzima fujo usiku na mchana
 
Aisee ni uchawi hii ilinikuta 2007 pale Arusha full kufanya ulozi tu walikuwa wananionea wivu na husda kwa sababu mie ndio nilikuwa mpangaji mwenye vitu vingi kuanzia vyakula hadi nguo Kuna bidada hadi alikuwa ananiomba unga wa ugali msumbufu huyo hadi mkaa anaomba mwanamke yule ukimnyima umeisha usiku utalala kwa tabu sana
Ungemla ndio ilikiwa dawa yake.
Yaani unampa vyakula vyako ale ashibe akitiwe na mwingine??
 
Mwizi anaingia saa 7 mchana Wapangaji wenzako hawamuoni ila ukiingiza Demu saa 9 usiku kesho asubuhi utaambiwa hadi Kisigino chake kilivyokaa
 
Kila nikija nilikuwa nabeba viroba vya unga wa ngano Kila mtu anaona aisee ilikuwa balaa
Mtoto wa kiume viroba vya unga wa ngano ndani kuna usalama??
Kwahiyo ulikuwa unapika chapati na maandazi.!! 🤔
Vipi nazi ulikuwa unakuna? 😹😹😹
 
Back
Top Bottom