Sasa walikuwa wanajuaje kama unajiwezaAisee ni uchawi hii ilinikuta 2007 pale Arusha full kufanya ulozi tu walikuwa wananionea wivu na husda kwa sababu mie ndio nilikuwa mpangaji mwenye vitu vingi kuanzia vyakula hadi nguo Kuna bidada hadi alikuwa ananiomba unga wa ugali msumbufu huyo hadi mkaa anaomba mwanamke yule ukimnyima umeisha usiku utalala kwa tabu sana
Kila nikija nilikuwa nabeba viroba vya unga wa ngano Kila mtu anaona aisee ilikuwa balaaSasa walikuwa wanajuaje kama unajiweza
Ungemla ndio ilikiwa dawa yake.Aisee ni uchawi hii ilinikuta 2007 pale Arusha full kufanya ulozi tu walikuwa wananionea wivu na husda kwa sababu mie ndio nilikuwa mpangaji mwenye vitu vingi kuanzia vyakula hadi nguo Kuna bidada hadi alikuwa ananiomba unga wa ugali msumbufu huyo hadi mkaa anaomba mwanamke yule ukimnyima umeisha usiku utalala kwa tabu sana
Mtoto wa kiume viroba vya unga wa ngano ndani kuna usalama??Kila nikija nilikuwa nabeba viroba vya unga wa ngano Kila mtu anaona aisee ilikuwa balaa