Ni fani kagi ya VETA inamfaa kijana alieishia darasa la saba?

Ni fani kagi ya VETA inamfaa kijana alieishia darasa la saba?

Veta hawapokei la Saba kwenye kozi hizo lazima awe form four
Unajua course nyingi za VETA ni kupotezeana muda! Haziendani na mabadiliko ya technologia! Wazazi tusikalili kila waliofeli VETA. VETA wako wamelala sio wabunifu sijui kwasababu ni serikali kama kawa course na mitaala ni hile hile ya fundi rangi, kuchomelea, kubonyeza keyboard ya computer, usafi, n.k. eti kwasababu watakupa cheti cha kuhalalisha umesoma. Kiukweli wanayofundishwa hayawasaidii vijana kupata kipato cha kuwatoa hata wakiajiliwa wanakuwa ni vibarua wa kulipwa 5,000 hadi 15,000 kwasiku inayoishia kwenye chakula na nauli.
Wafundishe ufundi simu, mfumo wa umeme wa magari ya kisasa, kuendesha mashine za kisasa za ujenzi wa maghorofa marefu au barabara au madaraja zinalipa saana wapo wengi standard seveni wameenda bondeni (SA) wamesoma na wanakula 1.8m kwenye migodi, SGR, na sasa wanatafutwa daraja la masaki-posta, na lile la mwanza lenye urefu 3.5km. Course nyingine ni za kutumia computer apps au simple programming za kupakia na kupakua taarifa kwenye mtandao. Yako mengi muda ni mchache
 
Mtafutie vijana waliojiajiri mtaani kwenye fani anayoipendelea then ajifunze kwa vitendo hapo tena atajua mahitaji ya soko kwa sasa ni nini.

Nimeona mabinti wanaotoka VETA hasa ushonaji wakiingia mtaani wanakuwa watupu kiasi cha kutafuta walimu wapya walioko kwenye industry.

Fani zingine VETA wanapewa basic knowledge tu na siyo kinachohitajika sokoni.

Ila naona metal works and fabrication sijui ndo mnavyoiita inakua kwa kasi sana sema ushindani nao mkubwa kila mtu kakimbilia huko.
 
Veta hawapokei la Saba kwenye kozi hizo lazima awe form four
Siyo kweli kiongozi. Nilikuwa pale VETA DAR juzi... tofauti ya form 4 na la saba ni nani aanzie wapi... LA SABA WAPO NA FORM FOUR WAPO... kimsingi, VETA ni ya wale wa la saba
 
Unajua course nyingi za VETA ni kupotezeana muda! Haziendani na mabadiliko ya technologia! Wazazi tusikalili kila waliofeli VETA. VETA wako wamelala sio wabunifu sijui kwasababu ni serikali kama kawa course na mitaala ni hile hile ya fundi rangi, kuchomelea, kubonyeza keyboard ya computer, usafi, n.k. eti kwasababu watakupa cheti cha kuhalalisha umesoma. Kiukweli wanayofundishwa hayawasaidii vijana kupata kipato cha kuwatoa hata wakiajiliwa wanakuwa ni vibarua wa kulipwa 5,000 hadi 15,000 kwasiku inayoishia kwenye chakula na nauli.
Wafundishe ufundi simu, mfumo wa umeme wa magari ya kisasa, kuendesha mashine za kisasa za ujenzi wa maghorofa marefu au barabara au madaraja zinalipa saana wapo wengi standard seveni wameenda bondeni (SA) wamesoma na wanakula 1.8m kwenye migodi, SGR, na sasa wanatafutwa daraja la masaki-posta, na lile la mwanza lenye urefu 3.5km. Course nyingine ni za kutumia computer apps au simple programming za kupakia na kupakua taarifa kwenye mtandao. Yako mengi muda ni mchache
Veta bado sana,nilienda kujifunza ufundi simu,nilijuta kupoteza hela yangu,wanachukua mafundi wa mtaani wasijua kitu..mnaelekezwa kufungua simu na kufunga vipimo vya mita hajui,software hawafundishi siamini tena..kozi za veta..bora usomee..youtube.
 
Unaona Sasa unataka kuhamisha mjadala kwenda kwenye ugomvi, kama ni hivyo ngoja niondoke, tafuta mtu mwingine wa kugombana naye
Nani anataka ugomvi mkuu?? unaposema tusome unamaan hatuna elimu..!

Umeshinda
 
Naomba msaada wa kujua fani nzuri veta ambayo inaweza kumfaa kijana ambae ameishia darasa la saba.

Kuna kijana wa dada yangu hakuendelea na masomo ya sekondari, sasa naona nimsaidie kwa kumlipia asomee fani VETA angalau imsaidie kukabiliana na changamoto.

Naomba msaada wa kujua ni fani gani anaweza kusomea VETA.

Ahsante.
Zingatia uwezo wake, unaacha kumuuliza yeye unakuja kuuliza watu ambao wala hawamjui mhusika

Umemrandisha akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then mwisho wa siku hivi kwa dunia ya Leo ambayo mashule ni mengi, kufaulu sio tatizo, darasa zima mnafaulu lakini mtu anakwama vipi?

Sorry wote tuna maumbo ya kibinadamu ila zingine ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom