Ni fedheha kubwa sana kwa Chama kikongwe kama CCM kuogopa kabisa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi

Ni fedheha kubwa sana kwa Chama kikongwe kama CCM kuogopa kabisa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Uchunguzi unaonyesha kwamba viongozi wa ccm wakisikia jambo hili la Katiba mpya wanapigwa na baridi kali kiasi cha kutetemeka mwili as If ni Watuhumiwa wanaosubiri kunyongwa huku kitanzi cha kuwaning'iza kikiwa kinateremshwa kwenye shingo zao .

Labda kwa faida ya ccm , viongozi wake , wazee wao pamoja na wote waliopita hapo ni kwamba KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI havikwepeki kwa sasa , hakuna namna yoyote ile ya kulikwepa jambo hili , NO WAY ! kwahiyo jambo la msingi kwa watu hawa ni kujiandaa na kujipanga kuishi ndani ya maisha mapya yaliyojaa haki za kikatiba , habari za Akina Mahera , Jecha au Augustino Ramadhan zinakomea hapa , Mwisho wa kubebwa na hao makada wenu wanaoitwa Wakurugenzi akina Kagurumujuli , Mwakabibi na wenzao imekwisha , NOTHING LASTS LONGER , umefika wakati wa kujieleza mbele za umma mlichokifanya kwa miaka lukuki iliyopita bila kumung'unya maneno , Hakutakuwa na cha Mswalie mtume

Jifunzeni kuishi kwa haki , jifunzeni kushinda chaguzi kwa haki na kikubwa zaidi jifunzeni kuvumilia maumivu waliyoyavumilia wenzenu , Rais Mstaafu Jakaya Kikwete , aliwahi kuwaambieni kwenye vikao vyenu kwamba kama wapinzani wakisema ccm haijafanya kitu , basi ni kazi yenu kuwaambia wananchi kwamba mmefanya hiki na kile , halafu wananchi wapime wenyewe , Waonyesheni MAVIEITE na Maflyover , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU , muda wenu umekwisha

2082683_FB_IMG_1559946076802.jpg
 
Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .



View attachment 1838840
CCM muda umekwisha mmetuchelewesha snaa kupata maendeleo ya kweli
 
Wanajua Katiba mpya ni kaburi la kukizika chama chao. Majizi na wahuni wanataka kuendelea na ujambazi wao wa kutumia mtutu kupora chaguzi.

Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .



View attachment 1838840
 
Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Hivi wanaccm wana sababu yoyote ya kuogopa tumr huru ya uchaguzi?
 
Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Uchunguzi unaonyesha kwamba viongozi wa ccm wakisikia jambo hili la Katiba mpya wanapigwa na baridi kali kiasi cha kutetemeka mwili as If ni Watuhumiwa wanaosubiri kunyongwa huku kitanzi cha kuwaning'iza kikiwa kinateremshwa kwenye shingo zao .

Labda kwa faida ya ccm , viongozi wake , wazee wao pamoja na wote waliopita hapo ni kwamba KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI havikwepeki kwa sasa , hakuna namna yoyote ile ya kulikwepa jambo hili , NO WAY ! kwahiyo jambo la msingi kwa watu hawa ni kujiandaa na kujipanga kuishi ndani ya maisha mapya yaliyojaa haki za kikatiba , habari za Akina Mahera , Jecha au Augustino Ramadhan zinakomea hapa , Mwisho wa kubebwa na hao makada wenu wanaoitwa Wakurugenzi akina Kagurumujuli , Mwakabibi na wenzao imekwisha , NOTHING LASTS LONGER , umefika wakati wa kujieleza mbele za umma mlichokifanya kwa miaka lukuki iliyopita bila kumung'unya maneno , Hakutakuwa na cha Mswalie mtume

Jifunzeni kuishi kwa haki , jifunzeni kushinda chaguzi kwa haki na kikubwa zaidi jifunzeni kuvumilia maumivu waliyoyavumilia wenzenu , Rais Mstaafu Jakaya Kikwete , aliwahi kuwaambieni kwenye vikao vyenu kwamba kama wapinzani wakisema ccm haijafanya kitu , basi ni kazi yenu kuwaambia wananchi kwamba mmefanya hiki na kile , halafu wananchi wapime wenyewe , Waonyesheni MAVIEITE na Maflyover , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU , muda wenu umekwisha

View attachment 1838840
Dah nathubutu kukuita wewe ni mzee wa kudadavua kwan umelisemea hili suala la haki ya kikatiba ktk katiba mpya kwa uelewa mkubwa.

Anayepinga nadhan naye ni mnufaika wa dhuluma za akina mahela aliyethani dikteta JPM angefaidi udhalimu wake lkn Allah akasema wewe Mr Mahela ni Mr Work for nothing.

Ubarikiwe sana kwa bandiko lako.
 
Tulieni nyie hata hii katiba bado kuna vifungu hatujavitumia, juzi juzi vingine mwendazake ndio alitufungulia njia halafu mnataka mpya🤣🤸‍♂️🐒
 
Kama Mbowe aliogopa kutoka madarakan kwa kubadilisha katiba ya chama chake ili aendelee kutawala yeye tu milele, ni vipi leo ushangazwe na CCM kuogopa katiba mpya? Je ina maana Mbowe kaona chama kikongwe kama chadema hakina na hakiwezi kuwa na mtu mungine mwenye maono na uzoefu wa kuongoza chama kama yeye? Na kama ni hivyo basi kina Lisu hawana maana yoyote ndan ya chama ndio maana mwenyekiti kaamua kuweka katiba ya kumfanya aongoze yeye tu miaka yote maana anaogopa akitoka hakuna mtu atakaeweza kuvaa viatu vyake vya kuiongoza chadema including Lisu, prof Safari nk.
 
Kama Mbowe aliogopa kutoka madarakan kwa kubadilisha katiba ya chama chake ili aendelee kutawala yeye tu milele, ni vipi leo ushangazwe na CCM kuogopa katiba mpya? Je ina maana Mbowe kaona chama kikongwe kama chadema hakina na hakiwezi kuwa na mtu mungine mwenye maono na uzoefu wa kuongoza chama kama yeye au zaidi ya yeye?
Jikite kwenye mada
 
Hii sio mada bali ni kichaka mtachotumia kufichia aibu zenu mwaka 2025. Mmeshaona kwamb mtaanguka vibaya na baada ya hapo lawama zenu mtazihamishia kweny katiba iliyopo na tume ya uchaguzi.
Umuhimu wa Katiba mpya hauko kwenye uchaguzi pekee
 
Kwa umri wa CCM kama chama , na kwa umri wa wanachama wake na viongozi wote wazee waliopita hapo , na kwa umri ambao chama hiki kimetawala na kuongoza Tanzania ni jambo la Aibu kubwa sana ya kufunika uso kuiogopa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Uchunguzi unaonyesha kwamba viongozi wa ccm wakisikia jambo hili la Katiba mpya wanapigwa na baridi kali kiasi cha kutetemeka mwili as If ni Watuhumiwa wanaosubiri kunyongwa huku kitanzi cha kuwaning'iza kikiwa kinateremshwa kwenye shingo zao .

Labda kwa faida ya ccm , viongozi wake , wazee wao pamoja na wote waliopita hapo ni kwamba KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI havikwepeki kwa sasa , hakuna namna yoyote ile ya kulikwepa jambo hili , NO WAY ! kwahiyo jambo la msingi kwa watu hawa ni kujiandaa na kujipanga kuishi ndani ya maisha mapya yaliyojaa haki za kikatiba , habari za Akina Mahera , Jecha au Augustino Ramadhan zinakomea hapa , Mwisho wa kubebwa na hao makada wenu wanaoitwa Wakurugenzi akina Kagurumujuli , Mwakabibi na wenzao imekwisha , NOTHING LASTS LONGER , umefika wakati wa kujieleza mbele za umma mlichokifanya kwa miaka lukuki iliyopita bila kumung'unya maneno , Hakutakuwa na cha Mswalie mtume

Jifunzeni kuishi kwa haki , jifunzeni kushinda chaguzi kwa haki na kikubwa zaidi jifunzeni kuvumilia maumivu waliyoyavumilia wenzenu , Rais Mstaafu Jakaya Kikwete , aliwahi kuwaambieni kwenye vikao vyenu kwamba kama wapinzani wakisema ccm haijafanya kitu , basi ni kazi yenu kuwaambia wananchi kwamba mmefanya hiki na kile , halafu wananchi wapime wenyewe , Waonyesheni MAVIEITE na Maflyover , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU , muda wenu umekwisha

Mama anaupiga mwingi eeeeh....😀😀😀😀
 
Mada nzuri Ila itaharibiwa na wachache. Itoshe kusema KATIBA MPYA ni muhimu Sana ama KATIBA iliyopo ifanyiwe marekebisho MAKUBWA.

Ikishindikana, vyama vya UPINZANI NA WOTE WANAOTAKIA MEMA NCHI HII, wasihangaike nasema wasihangaike na uchaguzi ujao maana Ni kupoteza hela bure za Watanzania, wasuse na ijulikane dunia nzima kuwa HAKUNA UCHAGUZI MAMA AONGOZE MPAKA ATAKAPOAMUA Mungu mkuu
 
Tusidanganyane,Mjadala wa katiba umekua ni Mjadala wa matumbo yenu..wengine Mnataka kulinda status quo ,wengine mnadhani ikibadilika mtaingia madarakani....TUSIDANGANYANE
 
Back
Top Bottom