Ni fedheha kubwa sana kwa Chama kikongwe kama CCM kuogopa kabisa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi

Siwapendi wabunge wa CCM kwakua mi waoga wa maisha badala ya kupigania haki za wananchi wao Wana side na serikali utadhani wameajiriwa na serikali akati kimsingi ilitakiwa serikali ihemee mipira kwa hoja na vitu vyenye msingi
Mbuge mwenye hofu ya maisha na mshahara wake anitafute ni mpe mbinu ya kuingiza mshahara wake ndani ya 24 hrs kama hofu ni hela ambazo utaziacha tu Ila watu wengi wanateseka kwasababu ya wajinga wachache niseme nyie mbwa I hate u all nawaombea laana Kama hamto jipanga kutetea matakwa ya wananchi mkalie ujinga tuu
 
Tusidanganyane,Mjadala wa katiba umekua ni Mjadala wa matumbo yenu..wengine Mnataka kulinda status quo ,wengine mnadhani ikibadilika mtaingia madarakani....TUSIDANGANYANE
Wewe unataka nini sasa , au bora liende tu mpaka Mungu atakapokuchukua ?
 
CCM ni chama cha siasa au ni genge la vibaka!Chama gani cha siasa kinatawala nchi kinatoa viongozi wa ajabu hadi wengine wanabaka na kulawiti wananchi(akina Sabaya)?Hivi unakumbuka kuwa Magufuli alikuwa anafanya hadi ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake?Nyieee!
 
Tusidanganyane,Mjadala wa katiba umekua ni Mjadala wa matumbo yenu..wengine Mnataka kulinda status quo ,wengine mnadhani ikibadilika mtaingia madarakani....TUSIDANGANYANE
Na wewe wafikirije?, Kutaka REFA alie HURU KUFANYA maamuzi nalo kama kwako si JEMA, unateteaje REFA asie huru na kujinasibu hujidanganyi?
 
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba
 
Naomba kuuliza , hivi andiko langu hili nalo ni chokochoko ?
 
Siyo kwamba hawayajui haya mkuu. Wanayajua. Ni kiburi tu.
 
Tusidanganyane,Mjadala wa katiba umekua ni Mjadala wa matumbo yenu..wengine Mnataka kulinda status quo ,wengine mnadhani ikibadilika mtaingia madarakani....TUSIDANGANYANE
Wewe maoni yako ni nini ktk mjadala wa katiba,?
 
Umesema KATIBA MPYA...TUME HURU haikwepeki kwa sasa....ukamalizia "no way no way".....

Hizi ndizo CHOKOCHOKO ZENYEWE.....

Mamlaka zikikataa ,je hiyo "no way" yako itakuwa na mawanda yapi ?!!!
 

Ujenzi wa democracy unafuata bottom-up approach, sio top-down approach. Ni uchizi kwa nchi yenye vyama visivyoongozwa kidemokrasia kufikiria kwamba inaweza kuwa na utawala wa kidemokrasia kwenye level ya nchi. Chadema nyosheni mambo yenu kwanza. Kama hamna ujasiri wa kushughulikia dictatorship iliyomo ndani ya chama chenu, obviously, hamna wisdom na courage ya kupigania democracy kwenye level ya nchi!
 
Umesema KATIBA MPYA...TUME HURU haikwepeki kwa sasa....ukamalizia "no way no way".....

Hizi ndizo CHOKOCHOKO ZENYEWE.....

Mamlaka zikikataa ,je hiyo "no way" yako itakuwa na mawanda yapi ?!!!
Hakuna mwenye mamlaka kama katiba haijayatamka hayo mamlaka. Leta kifungu cha katiba kinachompa mamlaka Rais kuzuia mikuyano ya vyama vua siasa.

Vyama vya siasa vifanye mikutano yao kwa uhuru kama katiba inavyotamka, halafu tumwone kiongozi ibilisi atakayezuia.
 
Uzushi hautakusaidia kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…