Ni free VPN gani kwa sasa ni nzuri kutumia?

Ni free VPN gani kwa sasa ni nzuri kutumia?

Idi mbali sana wakuu . Nipeni namba ya huyu aliyesema ataiweka idi nimlipe aiwaishe. Mana sio poa wazee kale kakungwi kanavyojielezea kanaonekana shoo za kuuwana kanaziweza
Afu muhusika wa ile connection sio yule kungwii, ni mwingne kabisaaa, hata mie nlishangaa mbona hawafanani kabisaa
 
Turbo vpn

(Ukipata porn nzuri ntumie na mimi Matola)
Honestly huwa siangalii porn, kuna app za matoni zina mambo yangu muhimu Sana ya safari wanazibinya Africa, Waafrica wanaharibu Sana wakiachiwa goli wazi hasa Wanaigeria na Wasomali.
 
😂😁😁 Dah ! Kama ana full bando au wifi Aseme niweke link ambayo anaingia bila VPN
Mimi mtu wa safari mkuu, kuna app za mamtoni watu wasafari mambo yetu ya Viza na ticket ndio akili ipo huko, nyinyi muda wa kuwa na nyege sijui mnaupataje kwa mateso tunayofanyiwa na CCM?
 
Mimi mtu wa safari mkuu, kuna app za mamtoni watu wasafari mambo yetu ya Viza na ticket ndio akili ipo huko, nyinyi muda wa kuwa na nyege sijui mnaupataje kwa mateso tunayofanyiwa na CCM?
😁🤣😁😁😁
 
Kuna App muhimu mahitaji kuinstall ila hila za wazungu wamezibana Kwa device IP za Africa.

Nimeingia App store ili NI download VPN Kwa ajili ya kufunguwa zile App lakini kila nikisoma review naona malalamiko ni mengi, sasa nimekuja hapa Kwa Wataalam mnisaidie nipakuwe VPN ipi iko vizuri?

bayankata
Mimi huwa natumia fake location app kwa kila app inayokataa "Tanzania" kama location yangu.
 
WEKA WI-FI ZA T¡G0 ZINA SPEED KUBWAA MNOO!
HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NAFUU SANA!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI
⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI
⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO DELIVERY NI FREEE!!

GHARAMA NI NAFUU, SPEED KUBWAA (pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa)
NICHEKI: 0717700921
 
Back
Top Bottom