Ni kweli tarehe yaweza kuwa inaonyesha ni siku nyingi sana lakini sikuwa active. ..nakumbuka nlijaribu kujiunga lakini sikujua namna ya kutumia JF ila leo ndo nimepata maelekezo..ahsante sana hata hivo NDAGLA
karibu huku kwetu najua unafuraha ila utaendelea kuwa na furaha kama post zako zitakuwa zenye kujenga na kuelimisha hawa watu wana weza kukkuaribia siku kama sio mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.