Ni kweli tarehe yaweza kuwa inaonyesha ni siku nyingi sana lakini sikuwa active. ..nakumbuka nlijaribu kujiunga lakini sikujua namna ya kutumia JF ila leo ndo nimepata maelekezo..ahsante sana hata hivo NDAGLA
karibu huku kwetu najua unafuraha ila utaendelea kuwa na furaha kama post zako zitakuwa zenye kujenga na kuelimisha hawa watu wana weza kukkuaribia siku kama sio mwezi