#COVID19 Ni Furaha kuu, Corona kama Ugonjwa na yatokanayo yakielekea ukingoni

#COVID19 Ni Furaha kuu, Corona kama Ugonjwa na yatokanayo yakielekea ukingoni

i,Kama chanjo ni salama kwanini ujitoe kuwa responsible kwa madhara yatakayotokea?
Wanasema wajuvi wa Mambo kwamba ktk Ulimwengu wa tiba ni kawaida wataalamu kujitoa kwenye lawama.

Wanatolea mfano kwenye upasuaji mkubwa, kwamba kabla haujafanyika mgonjwa husaini fomu ya kukubali kufa ama kupona na fomu inamalizia kwa kusema "daktari/hospitali haitahusika kwa kifo chako"
 
Sisi tuna rasmali nyingi ambazo mabeberu wamezikalia kodo na ndizo zilizowatajirisha, beberu hapendi Afrika,yupo kwa ajili ya mali zetu na ulinzi wa vitega uchumi vyake, kwa ajili ya usalama wake,siku hizi ana mhara mchina.
Kama ndio hivyo kwa huu mpango wa Covax utawaua watu wengi sana swali je na wao pia wamekalia Rasilimali kama sisi?
 
Mm nimwuliza makupuku wenzangu (wenye vyeti vya utaalamu wa afya) hapa Mwannyamala hosp wakaniambia eti ni kwasabb hizo nchi zina uwezo. Na hizi dawa ni za msaada kwa nchi masikini.
Si wangeandika tu 'Msaada kwa nchi maskini'?
Hili jambo bado lina utata.
 
Nani alikuambia ukichanjwa ndo hauwezi kupata tena huo ugonjwa? na nani alikuambia kuwa ukiupata huo ugonjwa na chanjo umeshapigwa ndo haufi!??
 
Leo ni siku ya furaha kuwa chanjo ya Corona inazinduliwa. Hatimaye pana Nuru tena katika maisha yetu.

Baada ya uzinduzi huu na kutupa maelekezo ya wapi kila yeyote alipo anaweza kwenda kuchanjwa kwa raha zake, tutakuwa tunaifunga rasmi sehemu kubwa ya mijadala kuhusiana na ugonjwa na yote yatokanayo. Corona itakuwa siyo issue tena.

Kipengele pekee kitakacho bakia itakuwa ni kuwajibishana kuhusiana na yaliyotusibu. Kuna watu wamekufa kwa uzembe tu. Kama tutaamua kusameheana, hilo litakuwa ni suala jingine.

Kupokelewa kwa chanjo kwa mtu kutamaanisha kuhitimishwa rasmi kwa Corona, kwake. Corona itakuwa imekuwa ni jambo lililopita na si hatari tena.

Hureee!

Wapi inapatikana Johnson Johnson nikapate jab yangu na wapendwa wangu tuufunge ukurasa huu?

Wenye dhamana, maelekezo tafadhali.

brazaj rejea tamko la Mbowe kuwa chanjo iwe lazima. Iwapo watu wachanche watajitokeza kuchanjwa na wengi wakagoma, chanjo itakuwa haina maana kwa sababu moja. Hizi chanjo zimetengenezwa kwa kufauata aina ya variants waliopo duniani kwa sasa. Sasa wakichanja watu wachanche na wengi wakawa hawajachanja, maana yake ni kuwa waliochanja watakuwa na uwezo wa kujilinda wasiwe affected sana na maamabukizi ya variant iliyopo mtaani. Kwakuwa wengi watakuwa hawaja chanja, na hawa virus wana mutate , watatengeneza variant nyingine na pengine ikawa kali zaidi, ambayo hata kama umechanja utashindwa kuwa protected ipasavyo kwani mwili wako una chanjo ambayo haikuwa trained kupambana na variant hiyo. Hivi tunavyoongea pfizer ndio wanamalizia tests za mwisho kwa ajili ya chanjo zitakazoambana na variant ya delta effectively. Ndio maana nchi nyingine wanasema chanjo ni lazima au wanapiga marufuku watu wasiochanjwa kuingia nchini mwao, na raia wao kwenda nchi wanazoona haziko makini katika chanjo, mfano Israel.
 
brazaj rejea tamko la Mbowe kuwa chanjo iwe lazima. Iwapo watu wachanche watajitokeza kuchanjwa na wengi wakagoma, chanjo itakuwa haina maana kwa sababu moja. Hizi chanjo zimetengenezwa kwa kufauata aina ya variants waliopo duniani kwa sasa. Sasa wakichanja watu wachanche na wengi wakawa hawajachanja, maana yake ni kuwa waliochanja watakuwa na uwezo wa kujilinda wasuwe affected sana na maamabukizi ya variant iliyopo mtaani. Kwakuwa wengi watakuwa hawaja chanja, na hawa virus wana mutate , watatengeneza variant nyingine na pengine ikawa kali rahisi ambayo hata kama umechanja utashindwa kuwa protected ipasavyo kwani mwili wako una chanjo ambayo haikuwa trainded kupambana na variant hiyo. Hivi tunavyoongea pfizer ndio wanamalizoa tests za mwish kwa ajili ya chanjo zitakazoambana na variant delta effectively. ndio maana nchi nyingine wanasema chanjo ni lazima.
Ni nani anawajaza huu upumbavu? kama natural infection haijatoa immunity inayoeleweka kutegemea chanjo ya majaribio ikukinge na korona ni ulimbukeni uliopitiliza......
 
Si wangeandika tu 'Msaada kwa nchi maskini'?
Hili jambo bado lina utata.

Msaada wao wakupe na namna ya kuandika waandike kama ambavyo ungetaka wewe waandike trna baada ya wao kuandika? Hatuna mafaili mirembe kweli?

Ila mtanzania? No wonder tulipata rais alumni mwenzetu wa mirembe na kama si kwa vijana wa Wuhan kufanya yao? Alikuwa anaenda kuwa rais wa maisha kama Kamuzu Banda.

Kisingizio ati ni mzarendo kweri kweri kumbe hamna lolote!

Maisha ya wangapi yamepotea kwa sababu yake?
 
brazaj rejea tamko la Mbowe kuwa chanjo iwe lazima. Iwapo watu wachanche watajitokeza kuchanjwa na wengi wakagoma, chanjo itakuwa haina maana kwa sababu moja. Hizi chanjo zimetengenezwa kwa kufauata aina ya variants waliopo duniani kwa sasa. Sasa wakichanja watu wachanche na wengi wakawa hawajachanja, maana yake ni kuwa waliochanja watakuwa na uwezo wa kujilinda wasuwe affected sana na maamabukizi ya variant iliyopo mtaani. Kwakuwa wengi watakuwa hawaja chanja, na hawa virus wana mutate , watatengeneza variant nyingine na pengine ikawa kali rahisi ambayo hata kama umechanja utashindwa kuwa protected ipasavyo kwani mwili wako una chanjo ambayo haikuwa trainded kupambana na variant hiyo. Hivi tunavyoongea pfizer ndio wanamalizoa tests za mwish kwa ajili ya chanjo zitakazoambana na variant delta effectively. ndio maana nchi nyingine wanasema chanjo ni lazima.

Mkuu nakubaliana nawe 100%:


Kwenye uzi huo pia nililiweka wazi hilo mkuu.
 
Back
Top Bottom