Hii nayo vpiiiView attachment 1871286
Wanasema wajuvi wa Mambo kwamba ktk Ulimwengu wa tiba ni kawaida wataalamu kujitoa kwenye lawama.i,Kama chanjo ni salama kwanini ujitoe kuwa responsible kwa madhara yatakayotokea?
...HATIMAYE PANA NURU KATIKA NCHI YETU....
#TujitokezeniKuchanjwa
Kama ndio hivyo kwa huu mpango wa Covax utawaua watu wengi sana swali je na wao pia wamekalia Rasilimali kama sisi?Sisi tuna rasmali nyingi ambazo mabeberu wamezikalia kodo na ndizo zilizowatajirisha, beberu hapendi Afrika,yupo kwa ajili ya mali zetu na ulinzi wa vitega uchumi vyake, kwa ajili ya usalama wake,siku hizi ana mhara mchina.
Si wangeandika tu 'Msaada kwa nchi maskini'?Mm nimwuliza makupuku wenzangu (wenye vyeti vya utaalamu wa afya) hapa Mwannyamala hosp wakaniambia eti ni kwasabb hizo nchi zina uwezo. Na hizi dawa ni za msaada kwa nchi masikini.
Maana yake ata serikali yenyewe haina uhakika na inachokifanya.[emoji3581]View attachment 1871269
Leo ni siku ya furaha kuwa chanjo ya Corona inazinduliwa. Hatimaye pana Nuru tena katika maisha yetu.
Baada ya uzinduzi huu na kutupa maelekezo ya wapi kila yeyote alipo anaweza kwenda kuchanjwa kwa raha zake, tutakuwa tunaifunga rasmi sehemu kubwa ya mijadala kuhusiana na ugonjwa na yote yatokanayo. Corona itakuwa siyo issue tena.
Kipengele pekee kitakacho bakia itakuwa ni kuwajibishana kuhusiana na yaliyotusibu. Kuna watu wamekufa kwa uzembe tu. Kama tutaamua kusameheana, hilo litakuwa ni suala jingine.
Kupokelewa kwa chanjo kwa mtu kutamaanisha kuhitimishwa rasmi kwa Corona, kwake. Corona itakuwa imekuwa ni jambo lililopita na si hatari tena.
Hureee!
Wapi inapatikana Johnson Johnson nikapate jab yangu na wapendwa wangu tuufunge ukurasa huu?
Wenye dhamana, maelekezo tafadhali.
Ni nani anawajaza huu upumbavu? kama natural infection haijatoa immunity inayoeleweka kutegemea chanjo ya majaribio ikukinge na korona ni ulimbukeni uliopitiliza......brazaj rejea tamko la Mbowe kuwa chanjo iwe lazima. Iwapo watu wachanche watajitokeza kuchanjwa na wengi wakagoma, chanjo itakuwa haina maana kwa sababu moja. Hizi chanjo zimetengenezwa kwa kufauata aina ya variants waliopo duniani kwa sasa. Sasa wakichanja watu wachanche na wengi wakawa hawajachanja, maana yake ni kuwa waliochanja watakuwa na uwezo wa kujilinda wasuwe affected sana na maamabukizi ya variant iliyopo mtaani. Kwakuwa wengi watakuwa hawaja chanja, na hawa virus wana mutate , watatengeneza variant nyingine na pengine ikawa kali rahisi ambayo hata kama umechanja utashindwa kuwa protected ipasavyo kwani mwili wako una chanjo ambayo haikuwa trainded kupambana na variant hiyo. Hivi tunavyoongea pfizer ndio wanamalizoa tests za mwish kwa ajili ya chanjo zitakazoambana na variant delta effectively. ndio maana nchi nyingine wanasema chanjo ni lazima.
Si wangeandika tu 'Msaada kwa nchi maskini'?
Hili jambo bado lina utata.
brazaj rejea tamko la Mbowe kuwa chanjo iwe lazima. Iwapo watu wachanche watajitokeza kuchanjwa na wengi wakagoma, chanjo itakuwa haina maana kwa sababu moja. Hizi chanjo zimetengenezwa kwa kufauata aina ya variants waliopo duniani kwa sasa. Sasa wakichanja watu wachanche na wengi wakawa hawajachanja, maana yake ni kuwa waliochanja watakuwa na uwezo wa kujilinda wasuwe affected sana na maamabukizi ya variant iliyopo mtaani. Kwakuwa wengi watakuwa hawaja chanja, na hawa virus wana mutate , watatengeneza variant nyingine na pengine ikawa kali rahisi ambayo hata kama umechanja utashindwa kuwa protected ipasavyo kwani mwili wako una chanjo ambayo haikuwa trainded kupambana na variant hiyo. Hivi tunavyoongea pfizer ndio wanamalizoa tests za mwish kwa ajili ya chanjo zitakazoambana na variant delta effectively. ndio maana nchi nyingine wanasema chanjo ni lazima.