Hellow!!
Leo mtaani kulikuwa na shamrashamra za kutosha wakati Mwenyekiti wa mtaa Mteule katika mtaa ninaoishi alipoitisha kikao kuwashukuru wananchi Kwa kumchagua.
Sasa umati uliojitokeza ndio Hasa umenipa kufurahi maana wananchi wameitika Kweli Kweli Kwa kuacha KAZI zao kumpokea kiongozi mpya Toka chama Cha upinzani (CHADEMA).
Aliyeshinda wa chama tawala inasemekana alikuwa mkali hatari, ukimuuliza swali tu, anakurukia KICHWA, sasa hata wanachama wa chama chake inaonekana walimhujumu.
Kwenu mnaoongozwa na chama tawala ktk mtaa wenu m ajisikiaje? Cc Erythrocyte .
Karibuni 🙏
Leo mtaani kulikuwa na shamrashamra za kutosha wakati Mwenyekiti wa mtaa Mteule katika mtaa ninaoishi alipoitisha kikao kuwashukuru wananchi Kwa kumchagua.
Sasa umati uliojitokeza ndio Hasa umenipa kufurahi maana wananchi wameitika Kweli Kweli Kwa kuacha KAZI zao kumpokea kiongozi mpya Toka chama Cha upinzani (CHADEMA).
Aliyeshinda wa chama tawala inasemekana alikuwa mkali hatari, ukimuuliza swali tu, anakurukia KICHWA, sasa hata wanachama wa chama chake inaonekana walimhujumu.
Kwenu mnaoongozwa na chama tawala ktk mtaa wenu m ajisikiaje? Cc Erythrocyte .
Karibuni 🙏