Ni goli gani halitoki kwenye kumbukumbu zako??

Ni goli gani halitoki kwenye kumbukumbu zako??

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Unapoangalia mpira kuna matukio mengi yanatokea ila nadhan tukio linalosisimua zaid ni goli linapoingia, kuna magoli yanafungwa kimaajabu au kiustadi mkubwa hadi yanakuachia kumbukumbu isiyofutika..

Kwangu goli ambalo haliji kufutika ni goli la Didier Drogba aliwapiga Liverpool, hatari sana ile.. nyuma alikuwepo Carragher basi jamaa aligeuka moja kwa moja na shuti moja kali sana golini..Pepe Reina alibaki anazishangaa tu jinsi nyavu zinavyotikisika..

Tupe goli ambalo lipo kwenye kumbukumbu zako..
 
Gol la van pes akiwa na Tim
Yake ya Netherlands world cup
2010 kama skosei aiseee
Bonge moja la gol na alifunga
kwa kichwa

Af gol la groud last year
Daah ya v.persie nayo ilikuwa hatari sana, km penguin vile..
 
La drogba final Chelsea vs bayen Munich champion league la kichwa Dk ya 90 hahahaha
 
Kuna goli moja nilifunga kwa style ya mbuzi kagoma. Lilikuwa amazing sn kwa sababu binti alikuw anatoa kamlio fulani kalikokuw kananipa hamasa sn. Yan mpk miguu iliweweseka aisee...!!! Lilikuw booonge la goli..!!
 
Fernando torres (chelsea) vs barcelona camp nou, 2012. Tulishangilia mpaka "joni visomi" wote wakatoka darasani kupisha shamra shamra.
 
Unapoangalia mpira kuna matukio mengi yanatokea ila nadhan tukio linalosisimua zaid ni goli linapoingia, kuna magoli yanafungwa kimaajabu au kiustadi mkubwa hadi yanakuachia kumbukumbu isiyofutika..

Kwangu goli ambalo haliji kufutika ni goli la Didier Drogba aliwapiga Liverpool, hatari sana ile.. nyuma alikuwepo Carragher basi jamaa aligeuka moja kwa moja na shuti moja kali sana golini..Pepe Reina alibaki anazishangaa tu jinsi nyavu zinavyotikisika..

Tupe goli ambalo lipo kwenye kumbukumbu zako..

Wengine tunayakumbuka tu ' Magoli ' ya ' hat-trick ' tunayowafunga Wake na Mademu zetu kila inapoitwa Siku mpya.
 
Kuna goli moja nilifunga kwa style ya mbuzi kagoma. Lilikuwa amazing sn kwa sababu binti alikuw anatoa kamlio fulani kalikokuw kananipa hamasa sn. Yan mpk miguu iliweweseka aisee...!!! Lilikuw booonge la goli..!!
Mkuu alifunga mchezaji gan??
 
Goli la Ronaldinho akiwa barca vs Chelsea ilikuwa ni bonge moja la goli kama vile anadance kumbe ndo hvyo anawatoboa The blauzi kama hujui hilo goli anza kufatilia siasa za bongo achana na soka hulijui
Nakumbuka hiyo kitu.. akina terry, cavalho wakawa wanachezeshwa singeli na fundi
 
RVP v Spain (diving header)
RVP v Aston Villa (manutd
RVP v Everton (arsenal
Rooney V Mancity
Rooney V Everton
Tim Howard (from keeper to keeper)
Cantona V Mancity
C Ronaldo V Granada
C Ronaldo V Galatasaray
Giggs V Arsenal (FA CUP final)
Juan Mata V Liverpool
Giroud scorpion kick
Beckham V Real Madrid (free kick)
Ibrahimovic V England
Tom Cleverly V Newcastle
Zidane V Leverkusen
Pogba V Swansea
 
Back
Top Bottom