Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gn??
Mkuu ilikiwa world cup 2014 Brazil bingwa alikuwa germanyHatar aiseeee Yan Spain
Wali beba kumbe likn shuhuli waliipata
Alafu yote ya man u[emoji87]nna magoli mengi ambayo hayatoki ktk kumbukumbu zangu....ova
ManUtd ni timu yangu so naangalia mechi nyingi za Manutd that's allAlafu yote ya man u[emoji87]
ManUtd ni timu yangu so naangalia mechi nyingi za Manutd that's allAlafu yote ya man u[emoji87]
Diego Foran "Uruguay" 2010 World Cup.Unapoangalia mpira kuna matukio mengi yanatokea ila nadhan tukio linalosisimua zaid ni goli linapoingia, kuna magoli yanafungwa kimaajabu au kiustadi mkubwa hadi yanakuachia kumbukumbu isiyofutika..
Kwangu goli ambalo haliji kufutika ni goli la Didier Drogba aliwapiga Liverpool, hatari sana ile.. nyuma alikuwepo Carragher basi jamaa aligeuka moja kwa moja na shuti moja kali sana golini..Pepe Reina alibaki anazishangaa tu jinsi nyavu zinavyotikisika..
Tupe goli ambalo lipo kwenye kumbukumbu zako..