Ni goli gani halitoki kwenye kumbukumbu zako??

Pele vs intermilan
Pele vs france worldcup 58
Pele vs penarol

Na magoli kibao ya mjomba pele.
 
Ilikuwa mechi ya fainal (FA FINAL CUP) may 2006.

West ham United vs Liverpool.
Mechi iliisha kwa sare ya goli tatu kwa tatu,mechi ilikuwa nzuri mno goli la Steven Gerard hili siwezi kulisahau mechi ilikuwa 3-2 huku west ham United akiongoza lakini steven alipiga mashine moja matata ambalo lilikuwa goli la kusawazisha akiwa umbali mrefu sana kutoka golini (nadhani ilikuwa katikati ya uwanja).

Bonge la goli, mechi iliisha kwa Liverpool kutwaa kombe la FA kwa mikwaju ya penati.

"The Gerrard final"
 
Messi Vs Madrid UEFA champions league semi final,
4 defenders past goalkeeper
 
Goli la messi vs sevilla , la liga 2018 , barca anachomoa 2 dk ya 89
 
ILO GOLI NAKUMBUKA MWANANGU ALIKUWA ANA MIEZI 9 LAKINI ALISHANGILIA HADI TULISHANGAA
 
Ahaa kumbe goli la kwenye mpira mi sijui nawaza nn bangi bana
 
Ilikua ni gemu ya ufunguzi wa kombe la dunia 2010, south africa kwa mzee madiba, SA vs Mexico, ni pale Siphiwe Tshabalala anakwamisha wavuni goli kali la kuongoza, yule mtangazaji sauti yake huwa inanirudia mara kwa mara.......
 
Goli la Shiza kichuya akiisawazishia timu ya simba dhidi ya yanga,ilikuwa kona haikuguswa ikajaa yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…