Ni Gono au maambukiz ya kawaida?

Ngoma usipime Mkuu maana umeambukizwa tayari ngoma na gono.sasa nawe utachapaje dry mkuu
 
Habari za jion wakuu, Napenda kutoa mrejesho kama ifuatavyo, Leo nlienda aga khan hospital nkajieleza kwa doctor akachukua urine sample and blood sample majibu ni kwamba nna UTI na nimepewa vidonge vya ciprofloxine na paracetamol, asanteni kwa ushauri na jion njema.
 
Usijipe moyo sana mkuu,.ungepima vyote tuu kuondoa mzizi wa fitna,.
 
Usijipe moyo sana mkuu,.ungepima vyote tuu kuondoa mzizi wa fitna,.
Mkuu upo sahih japo walichukua damu skujua walichokipima, ila nlimwambia doctor concern yangu na std
 
Iki fail chukua ofloxacin ni jamii ya cipro zote zipo kwenye group la flouroquiniline ilaaa hiyo iko more effective ina case ya chronic U.T.I
 
Mkuu kwa hizo dalili ulizoelezea ni za kaswende, pamoja na matibabu ya UTI jaribu kufanya monitoring afya yako kwa miezi kadhaa kama utaendelea kuona dalili nyinginge chukua hatua. Kaswende huwa haionekani kwa urahisi utaishiwa kuambiwa una UTI wakati inakula ndani kwa ndani. Waweza maliza miaka mutatu na zaidi bila kuo kuonekana.
 
acha upuuzi wewe kwenye masuala ya viungo vya uzazi...[emoji57] [emoji57] ..!!..ni daktari gani aliyekwambie utumie hiyo tube..???..ulipima kama una maambukizi..??..embu nenda hospitali huko ukapimwe.... hilo litakuwa ni gonjwa la zinaa tuu....
 
Na tiba ya kaswende ni sindano ya Pencilin pekee. Ingekuwa gono dalili zake zimajulikana ndani ya wiki tatu tena maumivu makali sana. Jaribu kusoma machapisho mbalimbali kuhusu Kaswende(syphils) itakusaidia, usikomae na kutibu UTI wakati una ugonjwa wa hatari, kaswende ni hatari muno kuliko STD zote.
 


Mkuu fanya hivi: Nenda hospital omba ufanyiwe kipimo kinaitwa VDRL pia pima na mkojo kujua kama una gono. Unaweza hata usimwone dr kwanza kama unaona aibu we nenda laboratory moja kwa moja haitakugjarinu hata buku kumi. VDRL itakusaidia kujua kama una Syphills.

Usipoteza muda wahi hospital sasa.
 
Syohills ndiyo Kisonono ni kibaya sana ndugu yangu bora gono. Na huyo demu mwambie aende hospital akafanye hivyo hivyo.
 
Kwa dalili hizo za mwanzo haiwezi kuonekana, inaanza kuonekana kwenye hatua ya tatu iitwayo Latent(hidden), asilimia chache sana ya watu inaonekana kwenye hatua za mwanzo
 


Mhhhhh, mkuu umeoza? Ulikosea, unapopatwa na ugonjwa kama huu hautakiwi kwenda to pharmacy kununua dawa. Ilikubidi kumuona daktari ili upate ushauri nasaha, unapokaa muda mrefu namna hiyo na gonjwa kama hilo ndipo unajipa mateso Zaidi. Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…