Ni hadaa na kujidanganya kwamba mahitaji muhimu sana ya wananchi wa Tanzania ni sheria za uchaguzi kubadilishwa

Ni hadaa na kujidanganya kwamba mahitaji muhimu sana ya wananchi wa Tanzania ni sheria za uchaguzi kubadilishwa

umejiuliza mbona kibaka na tapeli wa siasa havizungumzii?

sasa kama kibaka wa siasa hazungumzii hivyo, anazungumzia uchaguzi tu, wewe si utakua mpotoshaji gentleman?🐒
Huna akili, hivyo vitu vinaletwa na viongozi na ndio maana tunataka viongozi waliochaguliwa na wananchi kwa haki.

Sio viongozi wa magumashi wanaouza rasilimali za nchi
 
Ninyi mliojiunga na JF recently hususani 2020s mpo KICHAWA. Huwezi kupinga kwamba ubovu wa hali hapa nchini sababu yake ni utawala mbovu na chanzo ni uchaguzi hufanyika kama kiini macho kwasababu ya tume mbovu ya uchaguzi. Ili kukukumbusha ubovu wenyewe mfano halisi ni uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Ule siyo uchaguzi huru bali wizi huru wa kura.
kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani ni kitu mbaya sana.

kama huna hoja yenye mashiko na una zaidi ya miaka 15JF, huna haja kusingizia waliojiunga JF jana au juzi, kaa kimya tu na itapendeza zaidi

Chaguzi huru na za haki Tanzania zitaendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi bila kujali makelele wala mihemko ya mtu yeyote na utapeli wake 🐒
 
Kwanza hapa hakuna lady wako. Jielekeze kwenye hoja.

Kuna njia tatu za kuthibitisha ukweli wa kauli: kutamka jambo kwa kupaza sauti kubwa, kurudia rudia kaulli kwa ukali, na kuweka ushahidi mezani kwa upole.

Natumia mbinu ya tatu kuthibitisha wizi wa kura kama ifuatavyo:

View attachment 3237704
My lady,
kwamba kuna wa kubabaika na kupiteza wakati hizo script za drama?

ni muhimu mkazitumia ninyi wenyewe katika kupeana moyo, kupandishana mori na mihemko mnapowapotosha na kuwatapeli wananchi ili wawaone huruma na kuwaunga mkono.

Chaguzi huru, za wazi na za haki Tanzania, zitaendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi bila makelele ya kibaka yeyote wa siasa kutoka chama chochote cha siasa.

Na tunapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu mwezi October, hakua kifungu, nukta au koma katika sheria au katiba itabadilishwa na waTanzania wote watashiriki uchaguzi mkuu huo wa kihistoria kwa salama na amani.

atakaeleta fyokofyoko atadhibitiwa vizuri sana na kikamilifu bila wasi wasi wowote 🐒
 
My lady,
kwamba kuna wa kubabaika na kupiteza wakati hizo script za drama?

ni muhimu mkazitumia ninyi wenyewe katika kupeana moyo, kupandishana mori na mihemko mnapowapotosha na kuwatapeli wananchi ili wawaone huruma na kuwaunga mkono.

Chaguzi huru, za wazi na za haki Tanzania, zitaendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi bila makelele ya kibaka yeyote wa siasa kutoka chama chochote cha siasa.

Na tunapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu mwezi October, hakua kifungu, nukta au koma katika sheria au katiba itabadilishwa na waTanzania wote watashiriki uchaguzi mkuu huo wa kihistoria kwa salama na amani.

atakaeleta fyokofyoko atadhibitiwa vizuri sana na kikamilifu bila wasi wasi wowote 🐒

Brainless child!

IMG-20250216-WA0003.jpg

Wataalam wa upasuaji wa fuvu huenda wakakuta uwazi mkubwa kwenye kichwa cha Tlaatlaah badala ya ubongo
 
Huna akili, hivyo vitu vinaletwa na viongozi na ndio maana tunataka viongozi waliochaguliwa na wananchi kwa haki.

Sio viongozi wa magumashi wanaouza rasilimali za nchi
relax basi muerevu,
hayupo mgombea uongozi atakaeruhusiwa kushiriki uchaguzi ikiwa hajatimiza sifa, vigezo na masharti ya kikatiba ya nchi. Mgombea kama huyo lazma aenguliwe ili pasitokee unajisi katika katiba yetu.

Muhimu zaidi ni kujitokeza kwa wingi, kupiga kura na kuchagua viongozi tuwapendao kutuongoza.

hakuna haja ya kumbwelambwela gentleman 🐒
 
Huna akili, hivyo vitu vinaletwa na viongozi na ndio maana tunataka viongozi waliochaguliwa na wananchi kwa haki.

Sio viongozi wa magumashi wanaouza rasilimali za nchi

Sure. Injustice anywhere is injustice everywhere. Tuzidi kupaza sauti. Check video...

 
relax my lady,
ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya, hoja na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi kinzani, busara ikuelekeze kupumzika tu na kukaa kimya na itapendeza zaidi.

hakuna haja kujiexpose ulivyo useless na completely nonsense kichwani dhidi ya masuala haya muhimu sana ya kisiasa nchini.

Epuka vibaka na matapeli wa kisiasa na ukumbuke uchaguzi mkuu ni Oct mwaka huu 2025🐒
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
CHAWA Work
 

relax my lady,
ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya, hoja na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi kinzani, busara ikuelekeze kupumzika tu na kukaa kimya na itapendeza zaidi.

hakuna haja kujiexpose ulivyo useless na completely nonsense kichwani dhidi ya masuala haya muhimu sana ya kisiasa nchini.

Epuka vibaka na matapeli wa kisiasa na ukumbuke uchaguzi mkuu ni Oct mwaka huu 2025🐒

Wasomaji wa mnyukano huu ndoo watakuwa mahakimu wetu. Lkn nina uhakika kichwani mwako hakuna ubongo.

IMG-20250216-WA0003.jpg
 
Sure. Injustice anywhere is injustice everywhere. Tuzidi kupaza sauti. Check video...

View attachment 3237736
haya mambo ya pwagu na pwaguzi kupeana moyo na kupotoshana kisiasa, yanazidisha uwezekana wa kutapeliwa na vibaka na matapeli wa kisiasa kwa kiwango cha juu sana,

inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwakweli 🐒
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 

Attachments

  • 3049818-bea797ab6cbc71c96b0e8f1726a165b5.mp4
    55.4 MB
haya mambo ya pwagu na pwaguzi kupeana moyo na kupotoshana kisiasa, yanazidisha uwezekana wa kutapeliwa na vibaka na matapeli wa kisiasa kwa kiwango cha juu sana,

inasikitisha sana na inafedhehesha sana kwakweli 🐒

Masuala yanayohusu utawala wa sheria kwako ni masuala ya pwagu na pwaguzi?

Ndio maana juzi mkutano wenu wa ccm ulivunja katiba kwa kumteua mgombea urais ambaye hajajaza fomu ya kuomba nafasi hiyo kwa mujibu wa katiba ya ccm na kanuni zake.

Tukisema kuwa nyie ni TABULA RAZA mnakataa!

Hakuna kitu vichwani Mwenu!

IMG-20250216-WA0003.jpg
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Acheni hizi mambo...sheria ziwe za haki..zisiwe za kupendelea chama kimoja....usijiamini mambo hubadilika
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Sidhani kama unaongea kwa faida ya nchi au kwa faida yako mwenyewe kama ni kwa faida yako na tumbo lako upo sahihi, hata kama, Chama chako tu ndicho wagumbea wake watapitishwa na hiyo mnayo iita tume huru haina shida. Kwakuwa mnanufaka na kufaidika na hali ilivyo sasa wewe unaona ni sawa tu, vyovyote vile vyama vingine vinavyo fanywa bora tu nyie mnufaike. Sidhani chaguzi na viongozi wa kuchaguliwa kinamnaa hii wanatija yoyote kwa wananchi ndiyo maana wanajijazia masuru kwakuwa wanajuwa wamejiweka pale kwa ajili hiyo. Wala karne hii nchi kama tanzania haikupaswa kuzungumzia maswala ya maji, barabara, matundu ya choo, karne tulipaswa kuzungumzia maswala mazito ya kuhusu kuimari, sa uchumi wetu ila mpaka leo tunafikiria kutafuta wawekezaji waje wavune rasilimali zetu tulizo pewa na mungu wala hatufanyi jitihada zozote za kuwaandaa watu wetu kuweza kusimamia njiia kuu za uchumi.Fikra zako ni mfu wala ujui unalo lizungumza. Viongozi wanaopatikana kwa njia haramu huja kuondolewa kwa njia harama na hapo ndipo huchumi huribika kabisa. C. C. M ikiharibu uchaguzi huu ijue itarudisha nyuma uchumi wetu mara kumi ya wamagufuli na damage yake haitaweza kuimari,, ka kwa kipindi kifupi. Najua kuwa mikakati yote tayari imeshakuwa tayari, ila athari yake sijui kama wameipigia mahesabu. Kuteka, kuua nakupoteza watu wala haitakuwa suruhu yakuwanyamazisha watu ila, kadiri mnavyozama ndivyo mnavyo teketea. Wekeni tume huru bado mnauwezo wa kushinda kwa mda mrefu ingawa ushindi hautakuwa wak,, kishindo.
 
Wajinga wakubwa nyie mmebanwa safari hii, mifumo ya hovyo ndiyo inatuletea watu majizi na majangili ya mali za umma, tuambie Rais alitoa wapi milioni 700 za kuwapa taifa star kwenye budget ipi?
 
Au twende na hoja ya babu yetu mpya wa CCM kwamba - "wananchi wana njaa hawawezi kula katiba mpya".
 
Back
Top Bottom