ni haki au la?

ni haki au la?

kichwaones

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
399
Reaction score
49
habari wjf;

nina rafiki yangu alikuwa anafanya kazi kwenye private company apa dar. jamaa wamemuachisha kazi(unfairtermination of contract) bila sababu ya msingi, jamaa kafanyanao miezi 5 na siku 24 tu.

sababu ya kumuachisha kazi ni baada jamaa kuomba wampe some allowances kutokana na nature ya kazi yenyewe coz jamaa alikuwa anakata salary yake (>200,000/=) kwaajiri ya kazi ya compuni. jamaa arifata utaratibu wote wa kuomba(application letter), kaandika kama mara 3letter at interval of 1month.

sasa jamaa anataka kujuwa sheria inasemaje ili aweze kulipwa mafao yake yote maana ii kampuni inanyanyasa sana wafanyakazi especially wazawa(tz)

jamaa wamemlipa 13days na mwezi mmoja mbele wate bila makato yoyote.

sasa jamaa yanngu anaomba ushauri.
 
Kwanza tunatakiwa tujue mkataba wao ulikuwa una sema nini?

Kama mkataba umekatishwa bila kufika muda wa makubaliano ana takiwa kudai haki yake!
Lakini lazima azingatie na ajipime kama hakukihuka terms na condition kwenye hiyo contract na company!
Haki haipotei ina chelewa kwa hiyo lazima ipiganiwe!
 
Kwanza tunatakiwa tujue mkataba wao ulikuwa una sema nini?

Kama mkataba umekatishwa bila kufika muda wa makubaliano ana takiwa kudai haki yake!
Lakini lazima azingatie na ajipime kama hakukihuka terms na condition kwenye hiyo contract na company!
Haki haipotei ina chelewa kwa hiyo lazima ipiganiwe!

cotract ilikuwa 1yr na renewable kama pande zote zitakubaliana kuendelea kufanya kazi pamoja.

sasa uyu jamaa anataka kujuwa anatakiawa kulipwa nn na nn kama sheria ya nchi yetu inavyo dai. aliwambia wamlipe leave yake 6month wamekataa wana sema iti kwakuwa miezi site ilikuwa ija fika, je niakai, mawazo muhimu sana wadau
 
jamaa alitaka kwenda ngazi ya juu lakini uwezo wa kumuweka wakili ni mdogo je afanyaje?, kumbuka uyu jamaa vs company so anaitaji msaada zaidi wadau...
 
Back
Top Bottom