Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,204
- 5,710
Kodi ni jambo la msingi, na sioni tatizo la mashine za risiti za EFD
Ila naona haki kubwa walionayo wafanya biashara kugomea hizi mashine.
Juzi tu hapa tulisikia wote mshahara wa Rais mkubwa kiasi kile lakn haukatwi kodi, Yan kiongozi aoneshi uongozi katika jambo la pekee kama hili.
Tuliskia vilevile kwa waziri mkuu mishahara minono lkn isiyotambuliwa na EFD
Hii ni baadhi ya mifano, wapo wengi wakubwa serikarilin na makampun na taasisi zao hawalipi kodi stahiki, wanahisi wafanya biashara hawajui haya, bila shaka wanajua
NDIO MAANA WANAGOMA
hawaoni haja ya kulipa kodi wao wakati wakubwa hawalipi kodi
Makampuni ya simu yanakadiliwa kodi, hakuna mashine inayohakiki mapato yao.
Yapo mengi yakueleza ila lazma tujue mfumo wa utozaji kodi lazima uwe wenye usawa na haki, SI KWA KINDI FLANI TU, BALI NI MUDA TUAMBIWE HATA RAIS PAMOJA NA MAILION YOTE ANAYOPOKEA ANAKATWA KODI.
NA MAENEO YOTE MAKUU, KODI INALIPWA KWA UTHABITI HAPA MIGOMO KAMA HII YA WAFANYA BIASHARA ITAKWISHA, VINGINEVYO. Kazeni uzi nchi haina mwenyewe hii
Mtazamo wangu.
Ila naona haki kubwa walionayo wafanya biashara kugomea hizi mashine.
Juzi tu hapa tulisikia wote mshahara wa Rais mkubwa kiasi kile lakn haukatwi kodi, Yan kiongozi aoneshi uongozi katika jambo la pekee kama hili.
Tuliskia vilevile kwa waziri mkuu mishahara minono lkn isiyotambuliwa na EFD
Hii ni baadhi ya mifano, wapo wengi wakubwa serikarilin na makampun na taasisi zao hawalipi kodi stahiki, wanahisi wafanya biashara hawajui haya, bila shaka wanajua
NDIO MAANA WANAGOMA
hawaoni haja ya kulipa kodi wao wakati wakubwa hawalipi kodi
Makampuni ya simu yanakadiliwa kodi, hakuna mashine inayohakiki mapato yao.
Yapo mengi yakueleza ila lazma tujue mfumo wa utozaji kodi lazima uwe wenye usawa na haki, SI KWA KINDI FLANI TU, BALI NI MUDA TUAMBIWE HATA RAIS PAMOJA NA MAILION YOTE ANAYOPOKEA ANAKATWA KODI.
NA MAENEO YOTE MAKUU, KODI INALIPWA KWA UTHABITI HAPA MIGOMO KAMA HII YA WAFANYA BIASHARA ITAKWISHA, VINGINEVYO. Kazeni uzi nchi haina mwenyewe hii
Mtazamo wangu.