Ni Haki kugomea mashine za EFD

Ni Haki kugomea mashine za EFD

jamaa yako hapo anafikiri ile kodi unayokatwa kwenye mshahara utakuja kuipokea ukistaafu....hajajua kama ndio inayoenda kutumika kuendesha nchi. wananchi wengi kumbe hawana uelewa wa ulipaji kodi hapa tz.

Ishu kukata 18% katika mauzo cyo ktk faida hata kama unauza Kwa hasara. na biashara ni mtaji hunamtaji jua hukuna bias hara
 
Kodi ni jambo la msingi, na sioni tatizo la mashine za risiti za EFD
Ila naona haki kubwa walionayo wafanya biashara kugomea hizi mashine.

Juzi tu hapa tulisikia wote mshahara wa Rais mkubwa kiasi kile lakn haukatwi kodi, Yan kiongozi aoneshi uongozi katika jambo la pekee kama hili.

Tuliskia vilevile kwa waziri mkuu mishahara minono lkn isiyotambuliwa na EFD.
Kwani hao wanaogomea hizo mashine, hoja yao ni mshahara wa Rais na PM? Ukiwasikia wenyewe (sio kuwasemea), utagundua hawana hoja ya msingi, ila hawataki kufuatiliwa walipe kodi
 
Kwani hao wanaogomea hizo mashine, hoja yao ni mshahara wa Rais na PM? Ukiwasikia wenyewe (sio kuwasemea), utagundua hawana hoja ya msingi, ila hawataki kufuatiliwa walipe kodi

Nadhani ukiisoma vema hoja yangu ya msingi ni kodi iwe na usawa kwa wote toka alie juu mpka chini bila kujali wanadai nini sasa wafanyabiashara, wenda nimeitumia kujenga hoja yng
 
jamaa yako hapo anafikiri ile kodi unayokatwa kwenye mshahara utakuja kuipokea ukistaafu....hajajua kama ndio inayoenda kutumika kuendesha nchi. wananchi wengi kumbe hawana uelewa wa ulipaji kodi hapa tz.

Ha ha ha, nmechekaje, ila atakuwa amekuelewa
 
mwananchi analipa kodi asilimia18 muwekezaji analipa asilimia 3
 
Back
Top Bottom