Ni halali kujengea makaburi?

Umemaliza kila kitu mkuu.Umewahi kusoma "Theology of African Traditional Religion"?.Aisee kuna Elimu nzuri sana humu.
 
Hili swali nalileta kwa waumini wa pande zote Waisilamu na wakristo,ili tulijadili kwa pamoja ni halali au hairusiwi kujengea makaburi?
Kuandika majina ya marehemu,tarehe walizozariwa na tarehe za siku waliyokufa?
Makaburi yanajengwa kwa ajili ya kumbukumbu kwa ndugu zake na familia yake,kuandika majina tar ya kuzaliwa na kufa ni sehemu ya iyo kumbukumbu..Anaefanya anafanya na asieona umuhimu anaweza asifanye pia, Uhalali wa kujenga kaburi Ama kutokujenga ni utashi wa jamii husika,huwezi kupata majibu ya Yenye usawa kwani Wakristo na waislamu kuna sehemu tunapishana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Unadhani kwann makaburi ya zamani yalichongwa,kama lile la Yesu ambalo watu walikua wanaenda kumsabahi waliempenda ? Makaburi kujengewa ni muhimu yasipotee
 
Mathayo 23:27 enyi wanafiki mnayapaka makaburi chokaa, na kuyapamba kwa mapambo mengi.lakini ndani yake yamejaa mifupa na uchafu.(unafiki)
 
Unaweka na rejea sasa sio unaandikaandika tu ,tutaaminije.weka rejea tuone palivyoandikwa hivyo
 
Umeandika utumbo kama unabisha soma tena ulichoandika
 
Yaani abi hayyaj na jabir wawe muongozo!?..hata kuwafahamu unawafahamu,una uhakika walikuwepo!?..Kuna alikiri kutunga Hadith 2500 na zikapitishwa kuwa sahihi,alipopelekwa kwa khalifa kwa mashtaka hayo,kesi haikufika mwisho akauawa na wahafidhina,hakutanabahisha alitunga zipi?..ummar (ra)alipiga marufuku Hadith,alizuwia wahyi!?
 
Kila kitu kilicho juu ya ardhi mwishowe kinakuwa udongo mkuu. Uwe umezikwa na jeneza au sanda au kabur kujengewe ni yale yale tu so kila mtu azikwe vyovyote mwishowe ni udongo. Tatizo hapo ni muda tu northing more
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…