hamna ukweli wowote,kutokupika si uvivu ila pia si kigezo cha uwezo wako kitandani atii,ila wanaume mnakuza mambo sanamsichana mvivu wa kitandani utamjua tu, vitu vidogo dogo kama hivyo anakuwa anashindwa ati!
katika wale wote niliobahatika kuwa nao, mashalllah wamebarikiwa vyote viwili!!
mhh ugali sipiki kweli kabisa,cha kukomaza mikono yangu,inatakiwa iwe lainiiiii ili kuikamata mic tu na sio miko ya ugali,ugali wenyewe wa kisukuma mgumu huo unapika mpaka mikono inatoka sugu inahusu!!!Si anakushangaa hutaki kupika ugali....!!!!!!!
Huyu hakuwa anatafuta mke bali mpishi wa kumpikia.Kuna jamaa mmoja alioa mke mrembo ambaye wazazi wake waliishi kama kilomita 20 toka alipokuwa anaishi jamaa huyo.Tatizo lilijitokeza siku ya kwanza mke alipoingia ndani,ile kuandaa ugali mezani jamaa akagundua kuwa ulikuwa mbichi,ukamwagwa.Siku ya pili,vilevile na ya tatu jamaa akachoka na kuchukua chungu cha ugali kisha akakifunga kwenye baiskeli na talaka mkononi kwenda ukweni.Kufika huko akakabidhi ugali mbichi kama ushahidi na talaka juu.Sasa ndio ninajiuliza ni halali kumwacha mkeo kisa hajui kupika?
Kuna jamaa mmoja alioa mke mrembo ambaye wazazi wake waliishi kama kilomita 20 toka alipokuwa anaishi jamaa huyo.Tatizo lilijitokeza siku ya kwanza mke alipoingia ndani,ile kuandaa ugali mezani jamaa akagundua kuwa ulikuwa mbichi,ukamwagwa.Siku ya pili,vilevile na ya tatu jamaa akachoka na kuchukua chungu cha ugali kisha akakifunga kwenye baiskeli na talaka mkononi kwenda ukweni.Kufika huko akakabidhi ugali mbichi kama ushahidi na talaka juu.Sasa ndio ninajiuliza ni halali kumwacha mkeo kisa hajui kupika?
Huyu hakuwa anatafuta mke bali mpishi wa kumpikia.
sasa alioa wa nini huku ukijua hajui kupika? au ndio chagulaga?Kuna jamaa mmoja alioa mke mrembo ambaye wazazi wake waliishi kama kilomita 20 toka alipokuwa anaishi jamaa huyo.Tatizo lilijitokeza siku ya kwanza mke alipoingia ndani,ile kuandaa ugali mezani jamaa akagundua kuwa ulikuwa mbichi,ukamwagwa.Siku ya pili,vilevile na ya tatu jamaa akachoka na kuchukua chungu cha ugali kisha akakifunga kwenye baiskeli na talaka mkononi kwenda ukweni.Kufika huko akakabidhi ugali mbichi kama ushahidi na talaka juu.Sasa ndio ninajiuliza ni halali kumwacha mkeo kisa hajui kupika?
usilegee bwana utanlegeza na mie,ila ugali sipiki tuambiane mapema
mhh vinginevyo nao pia ungewachakachua
mhh ugali sipiki kweli kabisa,cha kukomaza mikono yangu,inatakiwa iwe lainiiiii ili kuikamata mic tu na sio miko ya ugali,ugali wenyewe wa kisukuma mgumu huo unapika mpaka mikono inatoka sugu inahusu!!!
sasa alioa wa nini huku ukijua hajui kupika? au ndio chagulaga?
Huyu hakuwa anatafuta mke bali mpishi wa kumpikia.
Tatizo letu tunapenda ready made. Kwani kupia ni sayansi, ni kitu ambacho ni relative. Wengie ubwabwa wabauwezea, wengine sembe ndoo umefika, etc.
Halafu mapishi yetu ya kin=bongo ukimpa mzungu ataona ni matope. Maana yeye amezoea kula vimajani vyake ambayo hatahavijachemshwa.
Kwa hiyo kama kweli kapika ugali mbichi inategemea maana kule kwetu ugali ukisha iva wanatia maji tena. Sasa usije kuoa kwetu ukamfukuza, TUTAKUTIMUA HATA KABLA HUJAPEWA MWALI.
Pia ADAMU alipo pewa eva, sio kwamba eva alikuwa mzuri katika kila kitu, alikuwa mshamba katika mambo mengi, lakini walifundishana hadi mambo yakanyoka.
Iweni na shukrani , watu wanachnganyikiwa kwa kukosa wenza wa maisha halafu nyie mnawafukuza??
Hivi mwanamke naye siku hizi anatoa talaka?
Kwa maana hiyo MJ 1 unataka kuniambia kuwa upishi sio sifa ya mke mwema?
beijing.
teh
MUKITANDA.
Mambo yakizamani siyo zama hizi!!kwani yawezekana demu hajawahi kupika kwao kulikuwa na watumishi kibao kiasi kupika hakushughulika!!hivyo kwanini amrudishe nindoa za ngumbaru.
Usukumani kutokujua kupika especially ugali ni disqualification kwa wakwe