Tatizo letu tunapenda ready made. Kwani kupia ni sayansi, ni kitu ambacho ni relative. Wengie ubwabwa wabauwezea, wengine sembe ndoo umefika, etc.
Halafu mapishi yetu ya kin=bongo ukimpa mzungu ataona ni matope. Maana yeye amezoea kula vimajani vyake ambayo hatahavijachemshwa.
Kwa hiyo kama kweli kapika ugali mbichi inategemea maana kule kwetu ugali ukisha iva wanatia maji tena. Sasa usije kuoa kwetu ukamfukuza, TUTAKUTIMUA HATA KABLA HUJAPEWA MWALI.
Pia ADAMU alipo pewa eva, sio kwamba eva alikuwa mzuri katika kila kitu, alikuwa mshamba katika mambo mengi, lakini walifundishana hadi mambo yakanyoka.
Iweni na shukrani , watu wanachnganyikiwa kwa kukosa wenza wa maisha halafu nyie mnawafukuza??