Usukumani kutokujua kupika especially ugali ni disqualification kwa wakwe
Amfundishe!Ndo tatizo la kuwatumia wafanyakazi tu!Watoto wanajua kula bila kujifunza kinapikwaje!
hamna ukweli wowote,kutokupika si uvivu ila pia si kigezo cha uwezo wako kitandani atii,ila wanaume mnakuza mambo sana
Obeja mayu...
mhh ugali sipiki kweli kabisa,cha kukomaza mikono yangu,inatakiwa iwe lainiiiii ili kuikamata mic tu na sio miko ya ugali,ugali wenyewe wa kisukuma mgumu huo unapika mpaka mikono inatoka sugu inahusu!!!
Usukumani kutokujua kupika especially ugali ni disqualification kwa wakwe
mmmmhhhh mi hapo utanisamehe...
we unalalaga kweli lol??
Bibie kanuna ile issue ya jana, nipo tu nang'aa macho kwa jamii forums...
Karibu mkuu jukwaani,sasa hapo tunawanyanyasa vipi,sijaelewa ati,ina maana hata wakishindwa majukumu yao nasi tukachukua hatua inakuwa ni kuwanyanyasa?
Nakubaliana nawe mizani kidogo inatupendelea wanaume,BTW nashukuru kwa offer yako ya kuniliwaza Cheusi alivyoenda kuhesabiwa nilikuwa bado sijashukuru,asante kwa moyo wa upendo.tunawafumania lakini hatuwaachi kutokujua kupika tu ndio talaka jamani!
ahh ulimbuken tu ndg yangu na izi movie ndo zatuharibu kabisa +km umeptia feminist theories na kijisent kdg kikikupitia bas kelel zaanzia apo
..zaman wakat majukumu ya domestic ni ya mke na mwanaume ni kutafuta pesa haya yote hayakwepo bt nw asubui we waenda job na mimi job na wote twachoka sawa ndo pbm kwa BAADHI ya wakike inaanzia apo na mapembe yananza kuota ya kudai haki sawa cz anaona mnaaamka wote sa 11 kwnda job na wote mnarud sa 11 sasa akirud tena hm kupika apike peke ake,kuchota maji,sjui kufanyaje wakat wewe umekunja 4 seblen anaona si sawa na WIMBO WA HAKI SAWA WAANZA KUIMBWA simply cz we umechoka na mimi nimechoka pia kazin sasa iweje tena niendelee kumenyeka bila kunisaidia ata kukata kitunguu..?
hali ya maisha na mifumo ya kibepari imebadirisha ata mfumo wa maisha kati ya mke na mume.
na aiwezekan tena kurud enz ziiiiile...imekula kwetu
tunawafumania lakini hatuwaachi kutokujua kupika tu ndio talaka jamani!
Kitandani shule dunia hiyo kila mtu hujitumaaaa,....
Usukumani kutokujua kupika especially ugali ni disqualification kwa wakwe
Hakuna kitu kinaitwa 'kupika ugali' ila 'kusonga ugali'. By definition kutoka Buhaya encyclopeadia, kusonga ugali ni mazoezi ya viungo na wala si upishi. Nenda vyuo vyote vya hotel management, hakuna kozi ya kusonga ugali. Kuleni ndizi na wali, msiwatese wake zenu au wafanyakazi wenu wa ndani.
Hivi mke naye anaacha mume siku hizi?
Hivi mke naye anaacha mume siku hizi?