Ni halali kumuacha mkeo kisa hajui kupika?

Ni halali kumuacha mkeo kisa hajui kupika?

Kwa hiyo hapo mwanaume atamuhudumia mke wake lakini mke hatamuhudumia mume wake?

atamuhudumia bt si kifedha kuchangia.
au atamuhudumia kwakutumia haus gal isipokuwa pa kitanda tu ndo atahusika yeye
 
achanteeee ..njoo bas unibusu unipe lile busu la babu nipate kudream yaliyo mema katika uzee wetu!!!!!
yan mada tamu..usingz nao mtaaaaaaaamu!!!!!!!




Tangulia katandike kitanda busu utalipata ukishajifunuka shuka.
 
atamuhudumia bt si kifedha kuchangia.
au atamuhudumia kwakutumia haus gal isipokuwa pa kitanda tu ndo atahusika yeye




Kwa hiyo nahudumiwa na house girl halafu nakuja kukushukuru wewe kwa mapishi mazuri?
 
On my side ningemrudisha kwa wazazi wake na bakora juu
 
Tangulia katandike kitanda busu utalipata ukishajifunuka shuka.

kitanda kipo km nilivyokiacha jaman swetie na net yake yaani shuka lilelile sjabadirisha tangu septemba nanet yake naenda tu kujidumbukiza dumbwwwwwwwwi!!!!!!!!!
we njoo tu i want busu mie
 
byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
mke hafai.
bt waweza kumfundisha na akawa mke bora.
malez toka kwa wazazi ndo chanzo cha watu kuwa useles
mtoto analelewa hajilei so ukionamtu anamatatizo basi ujue asilimia 70 imetokana na malez si yeye km yeye
nice to chat wth u
byee n c u 2mrw ma braza nyau white.
 
kitanda kipo km nilivyokiacha jaman swetie na net yake yaani shuka lilelile sjabadirisha tangu septemba nanet yake naenda tu kujidumbukiza dumbwwwwwwwwi!!!!!!!!!
we njoo tu i want busu mie



Kwa hali hiyo namshukuru aliyeleta bajaji,maana na usiku huu sijui ningeondokaje kurudi kwangu na daladala zimeisha....
 
Kwa hali hiyo namshukuru aliyeleta bajaji,maana na usiku huu sijui ningeondokaje kurudi kwangu na daladala zimeisha....

hahah hahaahaaaa USINIFANYIE IVO PLLLLZZZZ...tafadhali usiondoke!!!!!!!!!1
 
anaenda kanyaga moto kwa kuruka moshi
wakati anaoa akujua amelelewa hivyo

atajuta
 
Back
Top Bottom