jaap JF-Expert Member Joined Dec 25, 2018 Posts 4,888 Reaction score 6,459 Aug 15, 2024 #101 sysafiri said: Unatakiwa kumtumia Pesa mkeo siyo Mama yako! Click to expand... Kwahiyo mke wake ndiye atakae amua leo wapike chakula gani ? na wawe wana kula sangapi! Maana kila familia wana masaa yao ya kunywa chai na kula mchana na usiku.
sysafiri said: Unatakiwa kumtumia Pesa mkeo siyo Mama yako! Click to expand... Kwahiyo mke wake ndiye atakae amua leo wapike chakula gani ? na wawe wana kula sangapi! Maana kila familia wana masaa yao ya kunywa chai na kula mchana na usiku.