Ni halali kwa katiba ya CCM kuchapisha fomu moja tu kwa ajili ya Samia kugombea urais 2025?

Ni halali kwa katiba ya CCM kuchapisha fomu moja tu kwa ajili ya Samia kugombea urais 2025?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Katiba ya CCM inaruhusu ubakwaji huu wa demokrasia ndani ya chama?

Kama Samia anaupiga na kuutwanga mwingi, anaogopa nini kushindana na wanachama wenzake?
 
Jiulize ni aibu kiasi gani ccm watapata kama rais atashindwa kura ya maoni. Lazima kuzuia vitu kama hivyo visitokee. Kwa ubaguzi uliomo na matusi yaliomo ndani ya ccm wakati wa uchaguzi ni vizuri watoe form moja. Kumbuka Salim Ahmed Salim aliitwa Hezbollah. CCM kuna watu ni wabaya sana. Ndo maana Kikwete alisema hawaachiani maji mezani.
 
Back
Top Bottom