Ni halali SUA kuwa na TV au kiwanda cha maziwa?


Katika pitapita zangu leo nimekutana na hii mada ya miaka mingi hapa jukwaani
Ni majuzi wazizri wa viwanda alikuwa Morogoro na alitamka SUA ni sleeping GIANT...na ndugu waziri hakukosea kabisa
Sijui tatizo ni nini SUA wanamashamba yao kila ukienda ulizia mbegu za Ngombe... Mbuzi.....kuku...kondoo..kupata ni shida saana......niligundua wanampaka kampuni inayomanage hayo Mashamba lakini ukilinganisha na wenzao Kenya au Uganda Wao kwa asilimia kubwa wamelala kabisa....sasa hivi Tanzania kuna mwamko mkubwa wa vijana kujikita kwenye sector ya kilimo.....hii ilikuwa ni fursa kwa wataalam wa sua kuwasaidia...watu wanahangaika wapape wapi Mbegu mfano za kuku.,Ngombe......Nilitamani hata SUA TV wangekuwa wanatengeneza vipindi wawe wanaviweka online au WAWE WANAUNGANA NA TBC kumbe wapi.... pesa za uendeshaji wa hiyo TV sibora wangekuwa wananunua airtime TBC Tanzania nzima ikaelimika...wao wamebaki kufundisha ....job seekers.....badala ya job creators.......
 
Kwa idadi ya vyeti feki iliyojitokeza SUA huu uzi ni useless!
 
Kwanza nikuambie tu...SUA wanakiwanda cha maziwa! Japo ni kidogo ila kina supply maziwa campus nzima! Ukienda sua pita pale nyuma ya department ya engineering utayakuta!!

Nadhani ungesema wakikuze kiwe kikubwa zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…