Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,133
You make me lough!.wanaharamu ni hao waliofanya haramu
Na wala wazazi sio haram, haram ni lile tendo nje ya taratibu za jamii husika inayokubaliana na definition hiyo.Kama ni uharamu watakuwa nao wazazi wao waliowazalia humo nje ya ndoa
Kajifunze vizur iman...
Ipi iman(deen) yako?
Unajuwa hapa naogopa kuwakwaza wale wanaomini dini za kurithisha mali watoto, hivi mtu unakaa chumba kimoja cha kupanga utaacha urithi gani dunia hii?Wananyimwa si kwa sababu ya "uharam" wao bali kwa sababu ya makosa ya wazazi wao. Kumbe si uharamu ndo unaowakosesha urithi bali ni makosa ya wazazi wao ndiyo yanawafanya wanyimwe urithi.
Mimi sina ndoa na nina mtoto, sasa mpumbavu gani mwenye haki ya kumuita mtoto wangu haramu? watu wanapapatikia mafundisho ya dini hata wasizozijuwa kujitungia maneno ya kifara kabisa.
Dini zimejaa utapeli mtupu kuja kufarakanisha watu weusi wasiojuwa lolote ili wachukiane kwa kigenzo cha huyu amafuata dini ya waarabu na huyu anafuata dini ya wazungu. ujinga mtupu.
Sasa hayo madongo ya kukubuhu yanahusiana vipi na topic iliyopo?Kwa hiyo unaajitangaza ili tujue kuwa ni jinsi gani ulivyo kubuhu kwenye uzinifu?
Ni wapi nilipokutangazia kwamba mimi nimekubuhu kwa uzinifu? usinilazimishe mimi kuishi kwa imani unayoifuata wewe, ok, mimi ni muumini wa dini yangu ya kale ya mababu zangu, dini zetu za ukristo na uislamu usidhani kila mtu anaendeshawa na hizo imani zenu mlizoletewa wakati wa biashara ya utumwa.Kwa hiyo unaajitangaza ili tujue kuwa ni jinsi gani ulivyo kubuhu kwenye uzinifu?
Unajuwa hapa naogopa kuwakwaza wale wanaomini dini za kurithisha mali watoto, hivi mtu unakaa chumba kimoja cha kupanga utaacha urithi gani dunia hii?
Na kwa nini ifikiriwe kwamba watoto kazi yao ni kurithi tu na sio wao kumiliki mali na wazazi wao ndio waje kurithi kama mtoto ataanza kufariki?
Hizi dini msizifuate kama misukule, changanyeni na akili zenu.
Tatizo lako unakuwa na jaziba kwa kitu usicho kielewa! Urithi,ni haki ya mtoto pale inapotokea mmoja kati ya wazazi wake wawili au wote kufariki.
pamoja kuwa kurithi ni haki yake, haimzuwii yeye kutokutafuta mali yake. Na hata kama atakuwa anamiliki mali yake,ile haki ya kurithi bado itakuwepo. Kumbuka urithi si lazima warithiwa wawe wameacha nyumba,magari na vinginevyo. Hapana hata kama umeacha kijiko.
hebu nikupe mfano mdogo tu. Bwana Matola,inawezekana unamiliki mali na bahati mzuri,umebahatika kuwa na mtoto mmoja. Je iwapo utakuwa umetangulia mbele za haki ni sahihi mali zile ulizoziacha kumilikiwa na mtu yoyote from no where? Je ungependa zibaki kwenye miliki ya nani?