Ni hatari kiongozi anapoahidi kumshughulikia mtu na mapuruzai yanashangilia

The guy is the richest in Kenya
Has the largest lands
He was already president
His father was president

And its not like he is making extra ordinary strides for Kenya

Mbona ana katch ivo???? Nkama asipokuwa Rais atakuwa fukara!!!....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndo mwanamke tena jike shupwa, helewek umeandika nn kapake wanja huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe nyuzi zako huwa zinaogopesha maana mrengo ulionao ni wa ikulu na magari ya tinted
 
Eti ni hatari? Wacha awashughulikie! Malalamishi yake ni halali wamefutilia mbali uchaguzi wa rais na magavana wabunge n.k walochaguliwa kwa huo huo uchaguzi wameshaapishwa! Mtu anieleze hapo kunaendaje? Rais Kenyatta ni binadamu pia!
 
Ile Alhamisi aliongea vizuri sana na kupongezwa na wengi ndani na nje ya Africa sasa kaanza kuongea pumba. Aheshimu uamuzi wa mahakama akae kimya na kupiga kampeni ya nguvu.
Siku mojamoja Akili huwa zinakuja!!
 
Umejikakamua weee umeandika upuuzi ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…