MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kwa ujumla mimi siendagi Kariakoo
Siyo sehemu salama, watu ni wengi sana, hakuna parking and kuna high level of noise pollution
Ukiacha hayo matatizo madogo madogo, magorofa mengi yaliyojengwa ni ya mchongo, huwa wanaweka load kubwa sana huko magorofani.
Kuna uwezekano mkubwa sana magorofa mengi yaka snap na kukawa na taharuki nyingine zaidi ya hii iliyotokea hapo juzi
Kimsingi, Kariakoo ni hazardous place, ukiwa unaenda mara kwa mara ni hatari sana
Nini kifanyike:
Serekali itafute alternative market place iwahamishie wafanyabiashara wote isipokua wa nguo na magodoro.
Hayo magorofa ya mchongo yahifadhi nguo na magodoro ambavyo siyo vitu vizito sana
Biashara nyingine kama hardware and spare parts ambazo ni nzito zipelekwe sehemu nyingine ili hayo magorofa ya mchongo yapumue na uhai wake uongezeke
Siyo sehemu salama, watu ni wengi sana, hakuna parking and kuna high level of noise pollution
Ukiacha hayo matatizo madogo madogo, magorofa mengi yaliyojengwa ni ya mchongo, huwa wanaweka load kubwa sana huko magorofani.
Kuna uwezekano mkubwa sana magorofa mengi yaka snap na kukawa na taharuki nyingine zaidi ya hii iliyotokea hapo juzi
Kimsingi, Kariakoo ni hazardous place, ukiwa unaenda mara kwa mara ni hatari sana
Nini kifanyike:
Serekali itafute alternative market place iwahamishie wafanyabiashara wote isipokua wa nguo na magodoro.
Hayo magorofa ya mchongo yahifadhi nguo na magodoro ambavyo siyo vitu vizito sana
Biashara nyingine kama hardware and spare parts ambazo ni nzito zipelekwe sehemu nyingine ili hayo magorofa ya mchongo yapumue na uhai wake uongezeke