Ni hatari thinktanks na washauri wa mwenyekiti Mbowe kuwa watu kama Ntobi na Boni Yai

Ni hatari thinktanks na washauri wa mwenyekiti Mbowe kuwa watu kama Ntobi na Boni Yai

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Zamani Chadema ilikuwa imesheheni vichwa makini, walikuwa watu kama profesa Safari, Profesa Baregu. Hawa ndo walikuwa thinktanks na washauri wa Chama.
Leo inasikitisha chama kimebaki na wahuni kama Ntobi, kijana anayetukana matusi ya wazi viongozi wa chama. Yeye mtu mwenye thamani kwake ni mwenyekiti tu sababu anaweza kumbania ugali wake.

Na huyu Ntobi hajaanza leo, hata huko nyuma ashawavunjia heshima viongozi wengine wa chama. Anawatukana matusi mazito ya nguoni.

Leo Ntobi anawatangazia Waranzania kuwa CHADEMA mwaka 2020 haikusimamisha mtu sahihi wa kuongoza nchi. Madai yake haya yanawafanya wananchi waone kuwa ilikuwa sahihi Magufuli kuwashughulikia CHADEMA kwa sababu ni wahuni.
 
Chama Cha waliodata hicho na machawa unafikiri lile kasri limejengwa Kwa biashara ya mayai uchawa unalipa bongo
 
Bro.
Mbowe kwa tabia yake amesababisha watu makini ma muhimu wameondoka chamani:
1. Slaa
2. Safari na engineo
Tulimtukana sana Slaa lkn niliwahi kusema ipo siku tutamuomba radhi
Wakati Dr. Slaa akiwa kwenye ubora wake CDM mlimwita Padri kwamba arudi kanisani aachame ma siasa - tabia za chawa bana.
 
Zamani Chadema ilikuwa imesheheni vichwa makini, walikuwa watu kama profesa Safari, Profesa Baregu. Hawa ndo walikuwa thinktanks na washauri wa Chama.
Leo inasikitisha chama kimebaki na wahuni kama Ntobi, kijana anayetukana matusi ya wazi viongozi wa chama. Yeye mtu mwenye thamani kwake ni mwenyekiti tu sababu anaweza kumbania ugali wake.

Na huyu Ntobi hajaanza leo, hata huko nyuma ashawavunjia heshima viongozi wengine wa chama. Anawatukana matusi mazito ya nguoni.

Leo Ntobi anawatangazia Waranzania kuwa CHADEMA mwaka 2020 haikusimamisha mtu sahihi wa kuongoza nchi. Madai yake haya yanawafanya wananchi waone kuwa ilikuwa sahihi Magufuli kuwashughulikia CHADEMA kwa sababu ni wahuni.
Huyu kwa utomvu wa nidhamu alioonesha inatakiwa achukulie hatua za kidhamu
 
Mbowe ni sawa na Simba
dume anayetungisha mimba, ila watoto wakishazaliwa anawaua. Mbowe kaijenga CHADEMA imekua, sasa anataka kuiua kwa mikino yake mwenyewe!
 
Ndio maana kumbe mwaka 2015 Mbowe alimleta fisadi Lowassa chadema kwa ushauri wa Yeriko
Ile ilikuwa kete sahihi kwa kuipasua ccm hapo mbowe simlaumu ila walishindwa kujua muendelezo wake jinsi ya kuisukuma baada ya jembe JPM kushika nchi wakaanza kushikama na mafisadi na kuunga mkono mafisadi dhidi ya jpm ...kosa kubwa
 
Wakati Dr. Slaa akiwa kwenye ubora wake CDM mlimwita Padri kwamba arudi kanisani aachame ma siasa - tabia za chawa bana.
Acha unoko, Slaa tulimpenda sana, sema alituumiza alituacha wakati tunamhitaji zaidi
 
Kwanini chama za upinzani zingine kabla ya chadema ya mbowe zilikufa, na kutoka kwenye ramani , kama nccr-mageuzi, tpl, na cuf mbowe ni sahihi kuwa mwenyekiti chadema, na kuwa imara upinzani.
 
Kama kitafanyika ujinga kwenye huu ucjaguzi ujao, kwa kweli CHADEMA itabakia tu kwente makarayasi.

Nafasi pekee iliyopo ni kwa Mbowe kutogombea tena. Miaka 20 inatosha. Ametoa mchamgo wake kadiri alivyoweza ili kuifikisha CHADEMA ilipofika. Sasa wapokee wengine. Na ukomo uwe vipindi viwili.

Nafasi iwe kwa wengine. Lisu tayari amejaza fomu, na wengine kama wapo, sawa. Wachukue fomu. Na kusiwe na mizengwe kwenye uchaguzi. Uchaguzi ufanyike kwa uwazi na kwa haki, japo kwa kweli kwa mazingira ya sasa na wale waliopo kwenye ngazi za juu za uongozi wa CHADEMA, sioni mtu mwenye nguvu, uadilifu, mvuto na ujasiri wa kupambana na CCM, zaidi ya Tundu Lisu.

Kama Lisu atafanyiwe mizengwe iliyo nje ya haki, kanuni, sheria na katiba ya chama, basi Lisu hatakuwa na chaguo jingine, aende kwente chama kidogo kabisa, kama CHAUMA. Maelfu watamfuata huko.

Watu hawapo CHADEMA kwa sababu ni CHADEMA, bali ni kutokana na yale inayoyasimamia. Ikiyageuka masuala ya msingi inayoyasimamia, hakuna sababu ya kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.
 
Ile ilikuwa kete sahihi kwa kuipasua ccm hapo mbowe simlaumu ila walishindwa kujua muendelezo wake jinsi ya kuisukuma baada ya jembe JPM kushika nchi wakaanza kushikama na mafisadi na kuunga mkono mafisadi dhidi ya jpm ...kosa kubwa


Tuliwashauri sana wakae kimya JPM awashughulikie maCCM kwanza mpaka walie nyauuuuu!!!!
Hawakusikia wakajichanganya bila kujua kuwa walikua wananunua ugomvi wa familia ya mafisadi ndani ya CCM Mfumo wa kibepari kwenye nchi kijamaa hauwezi kujengwa bila kusimamia sheria. Mabepari wanajiona ni miungu watu kwenye dunia hii hivyo wanapaswa kuwekewa sheria kali na kuifuata kwa Lazima . Na pale wanapokinzana na sheria wanatakiwa wakutane na hasara kubwa ya kiuchumi bila hivyo Mabepari wanageuka kuwa wahalifu na wauaji kulinda maslahi yao.
Matokeo yake wamerejea kwenye kiti na kuwapa unafuu mafisadi na sasa kila kitu bei juu.

Mfano tu Nauli ya kwenda Arusha wakati wa JPM ilikua iko chini sana leo kwa bei ya LATRA ni karibu mara mbili ya ile ya wakati wa JPM.

Umeme uko bei Juu wakati Bwawa la Nyerere limeanza kuzalisha . Umeme kwa siku moja hakuna anayejua kuwa unaingiza sh. ngapi TANESCO pamoja na kodi na tizi zake. Wanachojua ni kiasi tu cha umeme unaozalishwa ila unapouzwa hawajawahi kusema .
Ngoja aje Rais Mzalendo Tundu Antipas Lisu na Waziri Mkuu Mpina ,Waziri wa Fedha Zito ,Waziri wa Viwanda na Biashara Freeman Mbowe.
Wanawake jinsia na watoto Halima Jemsi Mdee, Utamaduni na michezo Sugu ,
Mambo ya ndani Godluck Lema , Ulinzi, Karibu mkuu Dr.Slaa, Makamu wa Rais Salimu Mwalimu ,Tamisemi John Mnyika , Msemaji wa serikali Pascal Mayalla (Ataimarisha Demokrasia kwa waandishi wa Habari ) na wengine .1000 digits atakua mshauri wa Rais mambo ya umoja na mshikamano
 
Zamani Chadema ilikuwa imesheheni vichwa makini, walikuwa watu kama profesa Safari, Profesa Baregu. Hawa ndo walikuwa thinktanks na washauri wa Chama.
Leo inasikitisha chama kimebaki na wahuni kama Ntobi, kijana anayetukana matusi ya wazi viongozi wa chama. Yeye mtu mwenye thamani kwake ni mwenyekiti tu sababu anaweza kumbania ugali wake.

Na huyu Ntobi hajaanza leo, hata huko nyuma ashawavunjia heshima viongozi wengine wa chama. Anawatukana matusi mazito ya nguoni.

Leo Ntobi anawatangazia Waranzania kuwa CHADEMA mwaka 2020 haikusimamisha mtu sahihi wa kuongoza nchi. Madai yake haya yanawafanya wananchi waone kuwa ilikuwa sahihi Magufuli kuwashughulikia CHADEMA kwa sababu ni wahuni.
Akili visoda wote hao
 
Ile ilikuwa kete sahihi kwa kuipasua ccm hapo mbowe simlaumu ila walishindwa kujua muendelezo wake jinsi ya kuisukuma baada ya jembe JPM kushika nchi wakaanza kushikama na mafisadi na kuunga mkono mafisadi dhidi ya jpm ...kosa kubwa
Huwezi kuipasua CCM kwa kuikaribisha CCM jikoni
 
Back
Top Bottom