Ni hatari thinktanks na washauri wa mwenyekiti Mbowe kuwa watu kama Ntobi na Boni Yai

Ni hatari thinktanks na washauri wa mwenyekiti Mbowe kuwa watu kama Ntobi na Boni Yai

Yeriko ndio Mfumo anaosema Mnyika? 🐼
Ndio informer wa TISS hao wa shughuli zote zinazoendelea ndani ya chama si unajua aliyekaribu na maheremu anaweza kuwa ndio mchawi wa marehemu

Ndio ya Mbowe na Yeriko Sasa!!
 
Kama kitafanyika ujinga kwenye huu ucjaguzi ujao, kwa kweli CHADEMA itabakia tu kwente makarayasi.

Nafasi pekee iliyopo ni kwa Mbowe kutogombea tena. Miaka 20 inatosha. Ametoa mchamgo wake kadiri alivyoweza ili kuifikisha CHADEMA ilipofika. Sasa wapokee wengine. Na ukomo uwe vipindi viwili.

Nafasi iwe kwa wengine. Lisu tayari amejaza fomu, na wengine kama wapo, sawa. Wachukue fomu. Na kusiwe na mizengwe kwenye uchaguzi. Uchaguzi ufanyike kwa uwazi na kwa haki, japo kwa kweli kwa mazingira ya sasa na wale waliopo kwenye ngazi za juu za uongozi wa CHADEMA, sioni mtu mwenye nguvu, uadilifu, mvuto na ujasiri wa kupambana na CCM, zaidi ya Tundu Lisu.

Kama Lisu atafanyiwe mizengwe iliyo nje ya haki, kanuni, sheria na katiba ya chama, basi Lisu hatakuwa na chaguo jingine, aende kwente chama kidogo kabisa, kama CHAUMA. Maelfu watamfuata huko.

Watu hawapo CHADEMA kwa sababu ni CHADEMA, bali ni kutokana na yale inayoyasimamia. Ikiyageuka masuala ya msingi inayoyasimamia, hakuna sababu ya kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Ni kweli kabisa kabla ya kuundwa kwa Chadema Watanzania walikua wanaushindani mkubwa sana wa ndani ya CCM . Vita kubwa ilikua ni kati ya haki dhidi ya dhulma. Miaka yote hapa Tanzania kuna upinzani mkubwa kati ya Rushwa au ufisadi na uzalendo . Wazalendo kwa Muda mrefu wamekosa watu wa kusimama nao kwa thati kanisa . Wangi waliojitokeza kupinga ufisadi walihujumiwa kwa kutumia fedha za wizi na uhujumu uchumi wa nchi.
Mbowe asipokuwa Makini anaweza akaua chama kwa sababu ya Fedha na watu waliopenyeza toka CCM na kwenye idara zake .

Juzi nilishangaa kuona mamia ya watu wanaandamana bila kibali cha Polisi kwenda nyumbani kwa Mbise na kufanya kikao bila kibali huku pakiwa na waandishi wa habari na mamia ya bodaboda, cha ajabu hakuna aliyekamatwa wala kuitwa kwa kufanya maandamano bila kibali. Pale kwenye maandamano na wale waliomtaka Mbowe kugombea palikua na jamaa kama wanne toka kwenye idara za Serikali kuu kabisa na mmoja alikua amekaa mbele kabisa. Nikajua hapa kuna mkono wa SERIKALI. Bila shaka ni pesa za DP World na waarabu wa Ngorongoro/Loliondo . Hawa waarabu wa Loliondo walimpiga vita sana Lowasa mpaka akatoka kwenye nafasi ya uwaziri mkuu. Waarabu wa Misri walimchukia sana Lowasa kwa sababu ya msimamo wake kuhusu maji ya Ziwa Victoria . Waliposikia anataka kuwa Rais ndio walichanganyikiwa kabisa . Hawa lengo lao lilikua kwamba Tanganyika asije anatokea RAIS mzalendo ili waendelee kupora rasilimali za nchi .

Ukiangalia utagundua kuwa Watanzania wanaomfuata mtu sio Chama .
Mrema :
watu walitandika Khanga barabarani ili apite alipohamia NCCR wetu walihama naye kwenye chama kilichokuwa hakijulikani hata kutaja jina lake ilikua ni vigumu.
Lowasa watu walideki mpaka Barabara.

Maalim Seif:
Watu walimfuata toka CCM kwenda CUF na baadae ACT.

Dr. Slaa :
kule Karatu alihamia CHADEMA na watu wakamfuata.

Lowasa :
Watu walideki mapaka barabara .Alihamia CHADEMA na watu mamilioni tena wengi wakiwa ni wapiga kura wa kawaida .

Sasa Mbowe akiwasikiliza wale watu walioandaliwa na idara maalumu kwenda kumuomba eti achukue Fomu ajue wazi ataua chama na hoja ya ukabila ,ukanda na ufalme itakua imepata mashiko rasmi .

Wanasema eti Lisu hana Busara . Wapumbavu kabisa.
Lisu ni mtu mwenye busara ,hekima na maarifa makubwa sana tena mvumilivu ndio maana alipigwa risasi nyingi lakini anaongea kwa bashasha pamoja na kwamba ni wazi kuwa wale wanyama wamemtia kilema cha maisha kwenye mwili lakini Mungu naye ameamua kuwaweka chini ya mamlaka ya Lisu Muda sio mrefu na kwa busara zake hata lipa kisasi zaidi ya wao kupata aibu kubwa.

Kuna matakataka Walisema kuwa Mwabukusi hana Busara lakini leo hii amesaidia sana serikali kusimama kwenye sheria na kukaa naye mezani kujifunza baadhi ya mambo na wameelewa sana msimamo wake .


Hata Lisu anavyozidi kuwa katika uongozi wa juu ndivyo atakavyoheshimiwa na kutoa maelekezo ya kufanya na hapo hekima yake kubwa itaonekana zaidi. Kuna wakati busara inayohitajika ni nguvu na sio vinginevyo. Kichaa akiingia wodini na panga huku akiwa anawakata manesi na wagonjwa bila ,busara ya kumdhibiti ni kutumia nguvu na hata kumtwanga shaba ili asije akamaliza wetu . Kwa hiyo Lisu kwa sasa anatumia Busara inayoendana na vita iliyoko mbele yake.

Busara ya Lisu na hekima yake ni kubwa sana ndio maana anauwezo mkubwa wa kuwavuta watu bila fedha na vijana wengi wanapenda masomo ya sheria kwa kuvutiwa na Lisu na Mwabukusi.

Sasa wale makondoo na mambuzi wanaosema eti hana Busara wajue kabisa Busara ya upole haitumiki kwenye matukio yenye madhara kwa watu wengine kama vile utekaji ,mauaji,wizi wa kura ,ufisadi n.k
 
Mbowe apumzike machawa kina Ntobi na machawa ya CCM wanamdanganya.

Ni ajabu sana ghafla wanaccm wametokea kumkubali Mbowe ghafla na kusema bado anatosha kuwa mwenyekiti , Chadema mjitafakari sana.
 
Huwezi kuipasua CCM kwa kuikaribisha CCM jikoni
Kwani ujui msemo wa adui wa adui yako ni rafiki yako...chadema ilifanya sahihi kumkaribisha Lowassa na matokeo yalikuwa POSITIVE KABISA ....tatizo lilikuja baada ya kupata matokeo positive na CCM ilikuwa imepata mtu positive ambaye ni JPM hapo ndipo chadema ilipo shindwa kujua icheze vipi kete zake baada ya JPM kuwa raisi Mchapa kazi mzalendo mwenye kubeba ajenda zote walizo kuwa wanazitumia wapinzani nndipo chadema ikafanya UPUMBAVU MKUU MNO wa kusukuma kete ya USALITI DHIDI YA TAIFA NA UZALENDO NA WANANCHI ...wakaanza kutumiwa na mafisadi na genge la raia feki lililo kuwa na agenda ya kushika hatamu dhidi ya NCHI NA JPM NA WANANCHI ..hspo ndipo wananchi walipo idharau chadema hata sasa ...kama siyo ccm kupata shujaa jpm basi kete ya chadema kumchukua Lowassa ingekuwa kete kuu sana na kama chadema wangejua jinsi ya kucheza kete baada ya ccm kupata mtu mzalendo kama Jpm basi chadema pia ingekuwa hai na madhubuti kuliko wakati wowote...
 
Haya yote kayaanzisha Mbowe, ni kwa vile tu watanzania tumechelewa sana kumstukia.

Kila aliyekuwa anajaribu kugombea uenyekiti, Mbowe na machawa wake wanamzushia tuhuma za usaliti na watanzania tunazipokea kwa mikono miwili.

Watanzania tumuombe radhi Zitto na wenzake.
 
Wewe umetambua kuwa mbowe ni damu ya ccm chafu ....mbowe ameanza kutumika na ccm dhidi ya chadema ndiyomaana maandamano yasiyo na kibali na mkusanyiko usio na kibali uliachwa na POLICCM KWA MAAGIZO MAHARUMU KUTOKA CCM CHINI YA MWONGOZO WA CCM ANACHO KIFANYA MBOWE NDIYO KILICHO FANYIKA SYRIA MAJUZI WAISLAMU WANAO MPINGA RAIS WA SYRIA KUKUBALI KUTUMIKA NA MABEBERI ILI KUMUONDOA RAIS WAO NA MBOWE ANATUMIKA NA CCM ILI KUWAKWAMISHA WANAO PINGA CCM KIKWELI.
Ni kweli kabisa kabla ya kuundwa kwa Chadema Watanzania walikua wanaushindani mkubwa sana wa ndani ya CCM . Vita kubwa ilikua ni kati ya haki dhidi ya dhulma. Miaka yote hapa Tanzania kuna upinzani mkubwa kati ya Rushwa au ufisadi na uzalendo . Wazalendo kwa Muda mrefu wamekosa watu wa kusimama nao kwa thati kanisa . Wangi waliojitokeza kupinga ufisadi walihujumiwa kwa kutumia fedha za wizi na uhujumu uchumi wa nchi.
Mbowe asipokuwa Makini anaweza akaua chama kwa sababu ya Fedha na watu waliopenyeza toka CCM na kwenye idara zake .

Juzi nilishangaa kuona mamia ya watu wanaandamana bila kibali cha Polisi kwenda nyumbani kwa Mbise na kufanya kikao bila kibali huku pakiwa na waandishi wa habari na mamia ya bodaboda, cha ajabu hakuna aliyekamatwa wala kuitwa kwa kufanya maandamano bila kibali. Pale kwenye maandamano na wale waliomtaka Mbowe kugombea palikua na jamaa kama wanne toka kwenye idara za Serikali kuu kabisa na mmoja alikua amekaa mbele kabisa. Nikajua hapa kuna mkono wa SERIKALI. Bila shaka ni pesa za DP World na waarabu wa Ngorongoro/Loliondo . Hawa waarabu wa Loliondo walimpiga vita sana Lowasa mpaka akatoka kwenye nafasi ya uwaziri mkuu. Waarabu wa Misri walimchukia sana Lowasa kwa sababu ya msimamo wake kuhusu maji ya Ziwa Victoria . Waliposikia anataka kuwa Rais ndio walichanganyikiwa kabisa . Hawa lengo lao lilikua kwamba Tanganyika asije anatokea RAIS mzalendo ili waendelee kupora rasilimali za nchi .

Ukiangalia utagundua kuwa Watanzania wanaomfuata mtu sio Chama .
Mrema :
watu walitandika Khanga barabarani ili apite alipohamia NCCR wetu walihama naye kwenye chama kilichokuwa hakijulikani hata kutaja jina lake ilikua ni vigumu.
Lowasa watu walideki mpaka Barabara.

Maalim Seif:
Watu walimfuata toka CCM kwenda CUF na baadae ACT.

Dr. Slaa :
kule Karatu alihamia CHADEMA na watu wakamfuata.

Lowasa :
Watu walideki mapaka barabara .Alihamia CHADEMA na watu mamilioni tena wengi wakiwa ni wapiga kura wa kawaida .

Sasa Mbowe akiwasikiliza wale watu walioandaliwa na idara maalumu kwenda kumuomba eti achukue Fomu ajue wazi ataua chama na hoja ya ukabila ,ukanda na ufalme itakua imepata mashiko rasmi .

Wanasema eti Lisu hana Busara . Wapumbavu kabisa.
Lisu ni mtu mwenye busara ,hekima na maarifa makubwa sana tena mvumilivu ndio maana alipigwa risasi nyingi lakini anaongea kwa bashasha pamoja na kwamba ni wazi kuwa wale wanyama wamemtia kilema cha maisha kwenye mwili lakini Mungu naye ameamua kuwaweka chini ya mamlaka ya Lisu Muda sio mrefu na kwa busara zake hata lipa kisasi zaidi ya wao kupata aibu kubwa.

Kuna matakataka Walisema kuwa Mwabukusi hana Busara lakini leo hii amesaidia sana serikali kusimama kwenye sheria na kukaa naye mezani kujifunza baadhi ya mambo na wameelewa sana msimamo wake .


Hata Lisu anavyozidi kuwa katika uongozi wa juu ndivyo atakavyoheshimiwa na kutoa maelekezo ya kufanya na hapo hekima yake kubwa itaonekana zaidi. Kuna wakati busara inayohitajika ni nguvu na sio vinginevyo. Kichaa akiingia wodini na panga huku akiwa anawakata manesi na wagonjwa bila ,busara ya kumdhibiti ni kutumia nguvu na hata kumtwanga shaba ili asije akamaliza wetu . Kwa hiyo Lisu kwa sasa anatumia Busara inayoendana na vita iliyoko mbele yake.

Busara ya Lisu na hekima yake ni kubwa sana ndio maana anauwezo mkubwa wa kuwavuta watu bila fedha na vijana wengi wanapenda masomo ya sheria kwa kuvutiwa na Lisu na Mwabukusi.

Sasa wale makondoo na mambuzi wanaosema eti hana Busara wajue kabisa Busara ya upole haitumiki kwenye matukio yenye madhara kwa watu wengine kama vile utekaji ,mauaji,wizi wa kura ,ufisadi n.k
 
Chama Cha waliodata hicho na machawa unafikiri lile kasri limejengwa Kwa biashara ya mayai uchawa unalipa bongo
Kesheni mkimkashifu mbowe wala hatawajibu.
Yule bwana amejaa busara sana.
Mnaemtaka ni chizi maarifa hafai hata kurumangia
 
Tuliwashauri sana wakae kimya JPM awashughulikie maCCM kwanza mpaka walie nyauuuuu!!!!
Hawakusikia wakajichanganya bila kujua kuwa walikua wananunua ugomvi wa familia ya mafisadi ndani ya CCM Mfumo wa kibepari kwenye nchi kijamaa hauwezi kujengwa bila kusimamia sheria. Mabepari wanajiona ni miungu watu kwenye dunia hii hivyo wanapaswa kuwekewa sheria kali na kuifuata kwa Lazima . Na pale wanapokinzana na sheria wanatakiwa wakutane na hasara kubwa ya kiuchumi bila hivyo Mabepari wanageuka kuwa wahalifu na wauaji kulinda maslahi yao.
Matokeo yake wamerejea kwenye kiti na kuwapa unafuu mafisadi na sasa kila kitu bei juu.

Mfano tu Nauli ya kwenda Arusha wakati wa JPM ilikua iko chini sana leo kwa bei ya LATRA ni karibu mara mbili ya ile ya wakati wa JPM.

Umeme uko bei Juu wakati Bwawa la Nyerere limeanza kuzalisha . Umeme kwa siku moja hakuna anayejua kuwa unaingiza sh. ngapi TANESCO pamoja na kodi na tizi zake. Wanachojua ni kiasi tu cha umeme unaozalishwa ila unapouzwa hawajawahi kusema .
Ngoja aje Rais Mzalendo Tundu Antipas Lisu na Waziri Mkuu Mpina ,Waziri wa Fedha Zito ,Waziri wa Viwanda na Biashara Freeman Mbowe.
Wanawake jinsia na watoto Halima Jemsi Mdee, Utamaduni na michezo Sugu ,
Mambo ya ndani Godluck Lema , Ulinzi, Karibu mkuu Dr.Slaa, Makamu wa Rais Salimu Mwalimu ,Tamisemi John Mnyika , Msemaji wa serikali Pascal Mayalla (Ataimarisha Demokrasia kwa waandishi wa Habari ) na wengine .1000 digits atakua mshauri wa Rais mambo ya umoja na mshikamano
Pasal Mayala ambaye anaiponda CHADEMA kila siku ?? Au mwingine
 
Tuliwashauri sana wakae kimya JPM awashughulikie maCCM kwanza mpaka walie nyauuuuu!!!!
Hawakusikia wakajichanganya bila kujua kuwa walikua wananunua ugomvi wa familia ya mafisadi ndani ya CCM Mfumo wa kibepari kwenye nchi kijamaa hauwezi kujengwa bila kusimamia sheria. Mabepari wanajiona ni miungu watu kwenye dunia hii hivyo wanapaswa kuwekewa sheria kali na kuifuata kwa Lazima . Na pale wanapokinzana na sheria wanatakiwa wakutane na hasara kubwa ya kiuchumi bila hivyo Mabepari wanageuka kuwa wahalifu na wauaji kulinda maslahi yao.
Matokeo yake wamerejea kwenye kiti na kuwapa unafuu mafisadi na sasa kila kitu bei juu.

Mfano tu Nauli ya kwenda Arusha wakati wa JPM ilikua iko chini sana leo kwa bei ya LATRA ni karibu mara mbili ya ile ya wakati wa JPM.

Umeme uko bei Juu wakati Bwawa la Nyerere limeanza kuzalisha . Umeme kwa siku moja hakuna anayejua kuwa unaingiza sh. ngapi TANESCO pamoja na kodi na tizi zake. Wanachojua ni kiasi tu cha umeme unaozalishwa ila unapouzwa hawajawahi kusema .
Ngoja aje Rais Mzalendo Tundu Antipas Lisu na Waziri Mkuu Mpina ,Waziri wa Fedha Zito ,Waziri wa Viwanda na Biashara Freeman Mbowe.
Wanawake jinsia na watoto Halima Jemsi Mdee, Utamaduni na michezo Sugu ,
Mambo ya ndani Godluck Lema , Ulinzi, Karibu mkuu Dr.Slaa, Makamu wa Rais Salimu Mwalimu ,Tamisemi John Mnyika , Msemaji wa serikali Pascal Mayalla (Ataimarisha Demokrasia kwa waandishi wa Habari ) na wengine .1000 digits atakua mshauri wa Rais mambo ya umoja na mshikamano
Paskal Mayala ambaye anaiponda CHADEMA kila siku ?? Au mwingine
 
Kipindi cha nyuma kelele za kumtaka Mbowe aachie ngazi hazikuwa nyingi kiasi hiki. Huu ni muda muafaka sasa Mbowe ajitafakari kuwa inakuwaje sauti za kumtaka apumzike zimekuwa nyingi namna hii?

Kwa ushauri wangu ni kuwa watu wanamuona ana ushirika usio safi na CCM ndiyo maana anashindwa/hataki kumobilize nguvu ya chama kuipiga pressure ikubali mabadiliko ya msingi nchini!
 
Back
Top Bottom