Brown Mduma
Senior Member
- Sep 29, 2020
- 180
- 284
Lesseni yangu ya udereva ime expire leo tar 8/12/2021 nilikuwa nataka kujua kwamba naweza itumia hadi January ndio nibadilishe? Kingine ni kwamba ni process gani unatakiwa kuzifata ili kurenew lessen na ni sh.ngap vilevile inachukua mda gan kupata nyingine