Uchaguzi 2020 Ni hatua zipi za kisheria ambazo Tume (NEC) ina mamlaka dhidi ya mgombea anayetaka kusababisha uvunjifu wa amani?

Kamwengue kama una uwezo huo. Unaacha mtu mwenye kauli mbovu za ukabila, unamkazania mtu anasisitiza NEC itende haki. Nosense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Neno mabeberu limewakaa sana midomoni mwenu kama mlivyo karirishwa. Lakini mkiulizwa hao mabeberu ni akina nani hasa hamtoi majibu. Hamna tofauti na kasuku kuimba kitu usichokijua.
Mabeberu ni hao watu waliokuwa wanachukua maliasili zetu bure. Ni wanyonyaji wa mali zetu. Wanataka warudi tena kupitia mgombea huyu ambaye ameshawaahidi kwenye ilani yake: madini yetu atayaweka rehani ya mikopo watakayotupatia na riba yake, atawapa bure miradi ya sgr, bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere, mradi wa maji wa Ziwa viktoria na miradi yote aliyoanzisha Magufuli. Atavunja muungano wa JMT ili awape Zanzibar waimiliki kuweka submarine za majeshi yao. Kawahakikishia haki ya mapenzi na ndoa za jinsia moja. Kawahakikishia lugha yao ya kiingereza ndiyo itakuwa lugha ya taifa. Kawahakikìshia uhuru wa vyombo vyao vya habari nchini kwetu. Na kadhalika.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiingia Geita kwenye kampeni, Wenye wivu wajinyonge.
 
Lala, acha ujinga
 
Reactions: BAK
Hiyo tume ya mgombea inapata wapi mamlaka ya kuengua wagombea wengine kwa jinsi tume ilivyojichanganya lolote itakalofanya halitakubaliks hapo isubiti uchaguzi tu. Kama ni kanuni zipo zile za kutotumia Lugha nyingine zaidi ya kiswahili hivi yule aliyekiuka wazi wazi na kusema wakichagua asiye wa chama chake hatapeleka maendeleo ndiyo kanuni za uchaguzi zinaruhusu hayo kuwatishia wananchi kuwa lazima wamchague mtu aliyempitisha yeye na kuacha aliyepitishwa na wananchi ndiyo kanuni zina sema wagombea wawachagulie wananchi muwakilishi wao
 
Tuombe tarehe 28 Oktoba 2020 ifike haraka ili wale wakuchechemea waendelee kuchechemea na wale wa kuzimia waendelee kuzimia! Na hata wale watandika konyagi waendelee kuitandika.
 
πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘πŸ½Ahsante sana Mkuu.

 
Sikushangai kwa Vihoja hivyo ulivyojenga tuamini kuwa kuna mgombea anatumia ukanda/ukabila kutafuta kura. Unayemtuhumu ni yuleyule amekuwa akitumia lugha zote za makabila ya nchi hii anazozimudu kuwasiliana na WaTz wakati wote alipokuwa madarakani. Iweje leo alaumiwe? Akitumia Kiswahili amekuwa akishutumiwa hajui Kiingereza! Upumbavu tu wa kuleta Vihoja
 
usimsahau na yule aliyetoa rushwa ya ajira elfu 13 na kujenga barabara 46km akiwa katikati ya kampeni.

hapa mi naona wote hao waenguliwe abaki Hashimu Rungwe peke yake tuogelee kwenye beche siye!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

on a serious note, NEC haiwezi kum disqualify mgombea kwa kigezo ulichokisema huku ikifumbia macho kosa la kubwa kabisa la utoaji rushwa ambalo si tu ni kukiuka kanuni za uchaguzi bali ni jinai pia.
 
Kumbe u kilaza namna hiyo?
Kutumia kilugha kusalimia ni tofauti n kutumia kilugha kujinadi au kuomba kura kwenye eneo la kabila lako.
Kutisha watu kuwa wakichagua upinzani hutawapelekea maendeleo ni zaidi ya disqualification ya uongozi.
 
Natural resources wewe na nani?
 
Wasiwasi wako tu, hakuna ukabila pale,
 
Kumbe u kilaza namna hiyo?
Kutumia kilugha kusalimia ni tofauti n kutumia kilugha kujinadi au kuomba kura kwenye eneo la kabila lako.
Kutisha watu kuwa wakichagua upinzani hutawapelekea maendeleo ni zaidi ya disqualification ya uongozi.
Mbona tundu anatisha watu kuwa wakimchagua magufuli watapata tabu kwani ana mpango wa kujiongezea kipindi kingine?
 
Kumbe u kilaza namna hiyo?
Kutumia kilugha kusalimia ni tofauti n kutumia kilugha kujinadi au kuomba kura kwenye eneo la kabila lako.
Kutisha watu kuwa wakichagua upinzani hutawapelekea maendeleo ni zaidi ya disqualification ya uongozi.
Hiyo siyo hoja ni Kihoja

Ukweli upo wazi kuwa viongozi wa upinzani, waliochaguliwa na wananchi, walipinga maendeleo na wamekuwa hawashirikiani na Serikali katika Majimbo na Kata walizoongoza. Walisusia vikao vya Bunge na kupinga bajeti.

Hivyo basi, ni sahihi wapiga kura kukumbushwa athali za kuchagua mgombea upinzani, kama wanahitaji maendeleo ya "vitu" ili yawawezeshe kujiendeleza.

Vipi na anayemkejeli mgombea mwenzake, yeye yuko sahihi?
 
Lengo lako wewe ni lipi ktk hili.
 
Kamwengue kama una uwezo huo. Unaacha mtu mwenye kauli mbovu za ukabila, unamkazania mtu anasisitiza NEC itende haki. Nosense.

Sent using Jamii Forums mobile app
NEC imuengue tu, hasa yule anayeomba kura kwa misingi ya kikabila hususan kufanya campaign akitumia lugha ya kabila lake badala ya lugha ya taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…